Beso JF-Expert Member May 6, 2011 216 59 Oct 19, 2011 #1 hebu toeni maoni jamani hii ni tamaa au! Attachments naughty-groom.jpg 27.2 KB · Views: 458
Cantalisia JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,222 2,925 Oct 19, 2011 #3 Huyu naye,bwana harusi gani huyu?bi harusi geuka uone ujinga wa mumeo huku nyuma!
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Oct 19, 2011 #4 Shahidi mtu ni mkali kuliko mwali mwenyewe,ndo maana bwana kahamishia askar kule!
M mzee wandimu JF-Expert Member Sep 23, 2011 470 229 Oct 19, 2011 #5 Emanuel Makofia said: ruksa kujichaji kwa jirani Click to expand... tete tehe!
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Oct 19, 2011 #6 hata mimi nikichagua vibaya nikiona iliyoka vizuri zaidi lazma nitest.
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Oct 19, 2011 #7 Huyo kalazimishwa na alichaguliwa mchumba na wazazi!
TAMKO JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,090 762 Oct 19, 2011 #8 Natoa tamko: sio mnafatiliafatilia kila matukio.. sometimea mtu anafanya research na uchunguzi abaini mbivu na mbichi
Natoa tamko: sio mnafatiliafatilia kila matukio.. sometimea mtu anafanya research na uchunguzi abaini mbivu na mbichi
A arifuh New Member Oct 15, 2011 2 0 Oct 19, 2011 #9 Emanuel Makofia said: ruksa kujichaji kwa jirani Click to expand... kamakawatu baba
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 Oct 19, 2011 #11 Jamani huko nako kutamu siyo siri.
ALLEX JF-Expert Member Mar 15, 2011 2,006 343 Oct 20, 2011 #13 huyo demu mwingine itakuwa ndiyo chakula yake mbadala