Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Kuna umuhimu wa kurusha habari za bunge live online, Je zipo au kunautaratibu unaweza kuwezesha TV mbalimbali zikapatikana online??
Walio karibu na stations za TV na bunge watusaidia kama inawezekana na au hawaizekani na ni kwanini. Wapo watu wanaweza kukubali website zao zika-host link za live streaming.
Walio karibu na stations za TV na bunge watusaidia kama inawezekana na au hawaizekani na ni kwanini. Wapo watu wanaweza kukubali website zao zika-host link za live streaming.