Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,592
- 1,599
- Thread starter
- #21
ngoja watupe raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Tanzania kuna tv station ya kiislamu? Nimeuliza tu ili nijue wakuu.
hawaihitaji, wao hutumia nguvu za ulinzi usioonekana. Supika iliyopandishwa juu ya alama ya nyota na mwezi inatosha, imani itasambaa tu.
Mara nyingi hizi tv ni mahsusi kwa mijini tu ambako ndiko kwenye biashara kubwa kubwa. Vijinini haitalipa na kawaida mungu wa dini huangalia masilahi zaidi. Vijinini kuna nafsi nyingi lakini hazina uchumi kigezo ambacho kimemsababisha asiwekeze huko.
.
Leo nimeangalia kwenye taarifa ya habari channel ten kuwa kanisa la Mch. Rwakatare wanataka kuanzisha Television yao itakayoitwa Ebenezer Tv. Naona kila kanisa liko ize kuanzisha Tv kila kukicha, hii ina maana gani wanaJF, kwamba ndio tunakaibia mwisho wa dunia hivyo wanatumia kila njia kufikisha ujumbe ili baadae Mungu asiwalaumu aliowatuma kuongoza kondoo wake? Naomba majibu wanaJF...nawakilisha...
post zingine utadhani zinaandikwa na walevi wa gongo. Sasa vijijini kuna wenye tv wangapi? Na kama lengo lako ni kufikisha ujumbe kwa njia ya televisheni una invest vijijini ili iwe nini? Ujumbe wako utawafikia walengwa? Ndoi maana kuna redio station za FM za kidini kila mkoa ili kuwafikia hao wasio na uwezo wa kuwa na tv.
Ndio maana yake............na huenda wanaanzisha TV stesheni ili kupunguza gharama za kurusha matangazo kwenye tv stesheni nyingine.
Kumiliki kituo cha redio au stesheni kuna gharama kubwa, kwani kuna malipo unayotakiwa ufanye kila baada ya miezi sita na gharama za kurusha matangazo katika kituo kingine kwa saa na kumiliki kituo chako moja kwa moja ni heri ununue muda kituo kingine. Sema kikubwa walichoona ni biashara, kuna fedha za matangazo hapo, tena mengi tu.