Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,592
- 1,599
Leo nimeangalia kwenye taarifa ya habari channel ten kuwa kanisa la Mch. Rwakatare wanataka kuanzisha Television yao itakayoitwa Ebenezer Tv. Naona kila kanisa liko ize kuanzisha Tv kila kukicha, hii ina maana gani wanaJF, kwamba ndio tunakaibia mwisho wa dunia hivyo wanatumia kila njia kufikisha ujumbe ili baadae Mungu asiwalaumu aliowatuma kuongoza kondoo wake? Naomba majibu wanaJF...nawakilisha...