Tv (sony bravia, lcd 32'') , laptop (hp), digital camera (sony) - msaada tafadhali

Wanajanzi,

Mwenzenu yamenikuta, lasti week wenye mji wao walinitembelea, wakanivunjia ki-appartment changu cha kupanga hapa SINZA na kuniibia nilivyoviorothesha hapo juu...tena mchana kweupe mida ya kuanzia 1400h nikiwa mzigoni! Nimeamua kukubali matokeo lakini ombi langu ni kwa wale tu wenye uzoefu na wanavyojua hawa watu huwa wana-operate vipi, kuna popote/chochote naweza kufanya kuweza kuvitapa tena???



Pole sana.

Mimi pia yamenikuta - na nimekubali matokeo kwani nimeshindwa kutafuta.
USHAURI: - Ongeza security kwenye appartment yako - weka alarm mlangoni - badilisha vitasa etc. Weka hata grill mlango wa mbele kama wamepitia hapo. Otherwise ndugu yangu - unajuaje vimeenda uzwa mbali??

Ni wengi wanalia na hili jambo - again POLE ila hauko peke yako.
 
Thx yatima...life goes on, wakati si tunapinda migongo kwa kazi ngumu...wao wanaenda kwenye milango yetu!Anyway, 40 yao itafika hata kama si kwetu...
 
kaka pole sana kwa yalio kukuta usijali we sahau na mungu atakujalia utapata zaidi ya hivyo. ila unatakiwa kuongeza ulinzi nyumbani kwako
 
Pole sana ndugu,ongeza tu ulinzi hapo kwenye hiyo sehemu ,otherwise tafuta eneo ambalo lina usalama zaidi na uhame hapo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom