jackalikumtima
Member
- Apr 13, 2011
- 8
- 0
Kituo cha televisheni cha Sibuka kinachorusha matangazo yake kupitia Startimes kitakuwa kinarusha live mechi zilizobakia za Barclays Premiere League, UEFA na Bundasliga!! Habari hizo za uhakika zinatokana na mipango ya muda mrefu ya Kituo hicho kuwaburudisha na kuwapa wanacho kipenda watazamaji wake.
Wiki iliyopita walionyesha mechi mechi za Bundasliga pia wiki hii wameonyesha mechi za robo fainali za UEFA. Leo tusubiri, tuone Mechi za ligi ya Uingereza.
Wiki iliyopita walionyesha mechi mechi za Bundasliga pia wiki hii wameonyesha mechi za robo fainali za UEFA. Leo tusubiri, tuone Mechi za ligi ya Uingereza.