Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Jamani Najua mnakumbuka tuzo za Kora namna zilivyotupa sifa sisi Africa, Sasa sioni tuzo yoyote ya sanaa ya muziki ambayo ni Pan African, inayohusisha afrika nzima!
Tuzo za kora zilifia wapi na sababu ni nini!?
Kwa anayejua tujuzane!
Tuzo za kora zilifia wapi na sababu ni nini!?
Kwa anayejua tujuzane!