Tuzo za FIFA 2010: Messi mchezaji, Mourinho kocha bora

Messi ni best player sasa mbali na mchango kwenye timu ya taifa na club, pia idividual skills matters a lot na ndio zimechangia kumpa messi mafanikio kwa kiasi kikubwa
 
Messi ni best player sasa mbali na mchango kwenye timu ya taifa na club, pia idividual skills matters a lot na ndio zimechangia kumpa messi mafanikio kwa kiasi kikubwa

Mi sijui watu kwanini hawalioni hili,Messi ana uwezo mkubwa sana binafsi na ni mtu wa quick thinking, decisions na actions.......issue si tu idadi ya magoli wala kufika fainali bali mchango wako kwenye timu kama individual!
 
Nakubaliana na wewe 100 kwa mia. Sneijder alistahili tuzo hii. Alipata mafanikio makubwa ngazi zote, club na timu ya taifa. Ajabu hata top 3 hayumo. Messi hakumfikia Sneijder kwa ngazi ya club wala taifa
Ni kweli kama wangeangalia mafanikio ya timu ya taifa na club Sneijder angestahili.Lakini,kwa kipaji binafsi Messi is the best!!
 
wakuu hapa ishu ni mchezaji gani bora na yupo kwenye form c kusaidia taifa au club c hata kina ngasa wangeenda fifa?
nawakilisha
 
Just some few statistics regarding this debate.

2010 World cup

Goals scored
Sneidjer - 5
Messi - 0

Assists
Sneidger -1
Messi - 1

Pass completion rate
Sneidger - 70%
Messi - 72%

UEFA Champions League
Goals scored
Messi - 8
Milito - 6 (Inter Milan)
Sneidger - 3

Assists
Messi - 2
Sneidger -6
Milito - 2

Respective Leagues
Goals scored
Messi - 34
Milito - 22
Etoo - 12
Sneidger - 4

Assists
Messi - 10
Sneidger - 6
Etoo - 5
Milito - 3

World Cup Qualifiers
Goals scored
Messi - 6
Seidger -0

Assists
Messi - 4
Sneidger -1
 
Sneijder deserved it all...!

alichukua italian scudeto
italian cup
UCL
juzi kalamba WORLD club champion
WOZA final in SA

messi wamempa kwa lipi? au ndo mambo ya ushabiki kama wa tu fulani humu...
labda sababu aliwafunga arsenal bao 4 peke yake,ila kwa sasa waspain wachezaji wake wapo juu FIFA inawabania tu,kina Messi na Cristiano Ronaldo 7bu wana wapenzi wengi,ila kwa hali halisi soka sasa ukitaka ushindi uwe na wachezaji wanatoka spain,kina Arteta pale Everton,Silva Man City, Torres Liverpool,Cesc Arsenal nk
 
labda sababu aliwafunga arsenal bao 4 peke yake,ila kwa sasa waspain wachezaji wake wapo juu FIFA inawabania tu,kina Messi na Cristiano Ronaldo 7bu wana wapenzi wengi,ila kwa hali halisi soka sasa ukitaka ushindi uwe na wachezaji wanatoka spain,kina Arteta pale Everton,Silva Man City, Torres Liverpool,Cesc Arsenal nk

Du! What has Torres and Arteta done for their clubs this season?
 
Just some few statistics regarding this debate.

2010 World cup

Goals scored
Sneidjer - 5
Messi - 0

Assists
Sneidger -1
Messi - 1

Pass completion rate
Sneidger - 70%
Messi - 72%

UEFA Champions League
Goals scored
Messi - 8
Milito - 6 (Inter Milan)
Sneidger - 3

Assists
Messi - 2
Sneidger -6
Milito - 2

Respective Leagues
Goals scored
Messi - 34
Milito - 22
Etoo - 12
Sneidger - 4

Assists
Messi - 10
Sneidger - 6
Etoo - 5
Milito - 3

World Cup Qualifiers
Goals scored
Messi - 6
Seidger -0

Assists
Messi - 4
Sneidger -1

And below are the FIFA Ballon d'Or Criteria
  • Performances in major competitions (Champions League, World Cup, etc.)
  • Individual and team honours
  • Individual talent, skill and fair play
  • Overall career
  • Personality and charisma
and look at the scores.

Messi obtained 22.65% of the votes, ahead of his club team-mates Andrés Iniesta (17.36%) and Xavi (16.48%).

Mwandishi mmoja wa The Guardian huko uingereza ameandika 'Lionel Messi is the world's best player but Xavi deserved Fifa's award' Gonga hapa
Lionel Messi is the world's best player but Xavi deserved Fifa's award | Sid Lowe | Football | guardian.co.uk
 
tuache ushabiki jamani messi deserve it!

images
 
tuache ushabiki jamani messi deserve it!

images

Goal.com Poll – Who Should Win The 2010 FIFA Ballon D'Or?

Andres Iniesta (Barcelona) 13.7%

Lionel Messi (Barcelona) 35.42%


Xavi (Barcelona) 50.88%
 
unajua mpira ni tofauti na ngoma ya mdundiko. Kwenye mdundiko anayekatika vizuri ndiyo mshindi bali katika soka timu inayofunga magoli ndo mshindi hata kama imecheza vibaya. So individual talent ya messi ilitakiwa ilete mafanikio katika timu yake ya taifa na klabu. So naungana na wanasema xavi au scheider ndo walipaswa kupata baloon d' Or
 
that was the right choice he has been consistency for several years now including 2010 thus do not forget goals and assists he has made in Spain and Argentina.We wait for your Schneider to prove this year again he is the man.
 
Du! What has Torres and Arteta done for their clubs this season?
Messi hakustahili,labda kama kwa kuwa mfungaji bora ligi ya Spain,hata Torres alisuka bao ktk fainali vs Holland,alipiga mpira wakaokoa ukamkuta Fabregas kisha akampatia Iniesta akafunga bao,Arteta alikuwa majeruhi tu na anacheza timu huwezi kusema ni kubwa inahitaji wachezaji bora zaidi ila ni msaada sana angalia mechi za Everton nyingi
 
Messi hakustahili,labda kama kwa kuwa mfungaji bora ligi ya Spain,hata Torres alisuka bao ktk fainali vs Holland,alipiga mpira wakaokoa ukamkuta Fabregas kisha akampatia Iniesta akafunga bao,Arteta alikuwa majeruhi tu na anacheza timu huwezi kusema ni kubwa inahitaji wachezaji bora zaidi ila ni msaada sana angalia mechi za Everton nyingi

Mkuu naona huko umeenda mbali sana. Mshindi alipaswa atoke katika hao watatu wailoingia fainali. mchezaji ambaye anaweza kuzungumzwa ambaye hakuwepo kwenye top 3 ni scheider. Ila akina torres na arteta mh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom