not the right choice! Schneider was the best through out the season!
Messi? kwa lipi? FIFA daima huwa ni kituko hawana tafauti na CCM.
sa'sawa.NA wapiga kura wenyewe ni watanzania
Messi? kwa lipi? FIFA daima huwa ni kituko hawana tafauti na CCM.
Utakufa nacho kijiba cha roho, mwili unao unakonda kwa roho mbaya yako!!! Messi huyoooooo!!!, ndo kashakuwa best player na CCM ndio hiyooooo!!!!!, inaongoza nchi!
Hamna haja ya kubishana na watu wa soka la kusimuliwa. The Special One mwenyewe anamkubali Sneider...maana anajua alitoa mchango mkubwa sana ktk vuguvugu lile ambapo Inter walikusanya vikombe vinne au vitatu kama sikosei ktk 2009/2010.HHAHAH malumbano ya siasa kwenye soka
Utakufa nacho kijiba cha roho, mwili unao unakonda kwa roho mbaya yako!!! Messi huyoooooo!!!, ndo kashakuwa best player na CCM ndio hiyooooo!!!!!, inaongoza nchi!
Utakufa nacho kijiba cha roho, mwili unao unakonda kwa roho mbaya yako!!! Messi huyoooooo!!!, ndo kashakuwa best player na CCM ndio hiyooooo!!!!!, inaongoza nchi!