WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Tuzo ya Mo Ibrahim ambayo imekuwa ikitolewa kwa viongozi wastaafu wa kiafrika waliofanya vizuri katika Utawala bora kwa mara nyingine tena mwaka huu imekosa mshindi.
My Take
Je Afrika haina viongozi bora wastaafu, tutawezaje kupiga hatua kama viongozi wetu ni wa hovyo?au vigezo vya kumpata mshindi ni vigumu?
My Take
Je Afrika haina viongozi bora wastaafu, tutawezaje kupiga hatua kama viongozi wetu ni wa hovyo?au vigezo vya kumpata mshindi ni vigumu?