KUMBE SHEIKH YAHYA... BADO TUNAMTAFUTA... ALISEMA KUNAKIONGOZ ATAKUFA KTK UCHAGUZ ULOPITA,,,, ! Mh,,,,,,,
IM SURE HIYO MIONZI ITAPITA MBAGALA NA MANZESE,, LKN ILALA TOWN HAITOFIKA,,!
KUMBE SHEIKH YAHYA... BADO TUNAMTAFUTA... ALISEMA KUNAKIONGOZ ATAKUFA KTK UCHAGUZ ULOPITA,,,, ! Mh,,,,,,,
IM SURE HIYO MIONZI ITAPITA MBAGALA NA MANZESE,, LKN ILALA TOWN HAITOFIKA,,!
kiongozi ameshakufa, unadhani JK yuko sawa kwa sasa mentally?
umeme bei juu, gesi bei juu, mkaa bei juu, mafuta ya taa bei juu etc etc naye amekaa kimya tu. Unadhani angekuwa mzina asingekuwa ametoa au kuzungumzia masuala haya?
I am sure hata sasa ukimwuliza kuhusu zile ahadi wakati wa kampeni anaweza kukwambia sikuahidi kitu chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.