Katibu kata na tarafa nao huama na watoto wao kwa sanaMfaranyaki Primary School std 1-111,Majengo Primary school std IV- V,Litumbanjosi primary school std VI-VII,mambo ya baba kuwa mwalimu unahama naye (unakomaa naye mpaka kieleweke yaani hadi ufaulu kuingia kidato cha kwanza ndio utegemezi kwishney kama utafeli utazidi kuhama naye kwa ajili ya kurepeat)
Mawenzi Pr > Tabora Boyz > Ilboru!
I miss those dayz