wengi wetu (nafikiri) hatujui kuwa 'GADO' ni Mtanzania.
Amefanya mambo makubwa na yanayokubalika kupitia cartoon na ameshatambulika mpaka nje ya mipaka ya Africa. Kiukweli mambo yake ni makubwa sana na ni aina ya binadamu wenye akili nyingi sana na kujua jinsi ya kuzitumia.
Vivyohivyo, tunaye mkuu Kipanya. Huyu mtu anatoa mchango mkubwa sana. Watu wengi ni wachoraji wazuri zaidi yake lakini ule mtazamo wake (vision) juu ya maisha pamoja na confidence aliyonayo vinamfanya awe kwenye nafasi ya pekee hapa Tz. ...but you know what!!!???? ...wengi hatujui hili!
Cartoon ni nzuri na zinaelezea uhalisia wa mtz/Africa
Ya mwisho imetoa uasilia wa watoto waliokulia kwenye majumba ya serikali na kupanda magri ya serikali. Je kama baba ndo anastaafu na hata kibanda hana itakuwaje, atajiunga na majambazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.