Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
mama alitoka job, kuingia tu ndan mwanae mdogo kampokea na kumwambia mamy subr nikuammbie kitu, mama akamkatisha, akamwambia utaniambia baadae coz saa hz naenda kupika, akiwa anapika mtoto kaanza "mama leo...." mama akamkatisha tena, bas baadae wakiwa wamekaa wote dining wanakula yaan familia nzima mtoto akanzisha tena, "mama bas leo alikuja auntie Rose akamkuta dady...., mama akaitikia ahaaaaa, mtoto akaendelea baba akambeba akamkalisha pale akionesha mezani, mama enhe, (hapo baba chakula kishakuwa kichungu), mtoto akaendelea halafu akambeba tena akampeleka chumbani kwetu(mtoto alikuwa bado analala na wazaz), kisha akamvua nguo, ( hapo baba jasho linamtoka mwili mzima akijua kaumbuka)mama kwa hasira enhe ikawaje, mtoto akasema akamlaza kitandani, na yy akavua nguo halaf akamlalia wakaanza kucheza kama we unavyochezaga na uncle John......................hahahaaa, unahc nini kilifuatia hapo,