Inategemea na situation, atleast unajua uko na mtu wa namna gani na hujiachii asilimia zote, na kama kumkatalia kamahumtaki pia inakuwa ni uamuzi wako, kwa vie ukweli unakuwa nao
Angekwambia ukweli ungemchuna sana.
Hapo yenyewe tu bado ulimchuna akulipie gharama za masomo. Kwa hiyo acha na yeye ajifaidie.