Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
<br />Hus ni kweli. Ni rahisi sana kumchunguza mpenzi wako pale mnapoanza mapenzi kwani huwezi kupenda na kumzimikia mtu ghafla kwa maana ya kuingia kichwa kichwa. Muda wa mwanzo mwanzo wa uhusiano kila mtu anakuwa amekaa kimachale machale. <br />
<br />
Ila ndio hivyo kuna watu hawawezi kujifunza mpaka wakosee (learners through mistakes) na kuna wengine wanajifunza kutokana na makosa ya wenzao (learners through other's mistakes) which is a best way to learn.
<br />
kuna mtu amenibishia. Mimi hata rafiki yangu akiniambia hus huyu shemeji yako nikikaa nao kidogo naweza jua yule mwanaume yupo vipi.
Makosa mengine ni ya kujitakia NK, kuna dada mmoja girlfriend wa baba yangu mdogo, yaani yule dada amekufa ameoza ila bamdogo hizo pozi anazomwekea ni balaa na mara kibao mdada anadanganywa. Natamani nimwambie aendelee na maisha yake atapata mwingine ila mambo haya bora kuwaachia wahusika.