SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Apr 23, 2012 #21 Hey! kunyweni viroba, no pathogen can survive in it, its an antiseptic.
trachomatis JF-Expert Member Jun 7, 2011 3,758 736 Apr 23, 2012 #22 SR senior said: aisee watz mabwe...e, yaani ulaya hyo dili... Click to expand... Mimi niliwahi kuagiza Sprite miaka 3 iliyopita... Ilipofika nusu,funda lililofuata,kabla sijameza,niligundua kitu kinachoteleza mdomoni,mfano wa "makamasi"! Nikatema fasta... Tangu siku hiyo,hunipi Sprite nikakubali. Miezi 6 iliyopita "Fanta Orange" kabla sijainywa niligundua uchafu mfano wa kamba ya katani iliyoogeshwa kwenye "oil" chafu... Muuzaji akanibadilishia..
SR senior said: aisee watz mabwe...e, yaani ulaya hyo dili... Click to expand... Mimi niliwahi kuagiza Sprite miaka 3 iliyopita... Ilipofika nusu,funda lililofuata,kabla sijameza,niligundua kitu kinachoteleza mdomoni,mfano wa "makamasi"! Nikatema fasta... Tangu siku hiyo,hunipi Sprite nikakubali. Miezi 6 iliyopita "Fanta Orange" kabla sijainywa niligundua uchafu mfano wa kamba ya katani iliyoogeshwa kwenye "oil" chafu... Muuzaji akanibadilishia..
L LAT JF-Expert Member Nov 20, 2010 4,401 1,312 Apr 23, 2012 #23 wakuu habari za SBS Naona leo mmekuja na kali kabisa .... ila tafuteni marketing strategies za maana na si kuleta kashfa tuu
wakuu habari za SBS Naona leo mmekuja na kali kabisa .... ila tafuteni marketing strategies za maana na si kuleta kashfa tuu