kobonde
Senior Member
- Jan 6, 2010
- 154
- 19
Tamaa zimeniweka hapa nilipo sasa sina amani ndani ya nyumba nahisi kama nitalipiziwa kisasi,siku za nyuma kidogo nilikuwa na kimada nikampenda na kuanza kudharau mwandani na vituko vingi tu nilimfanyia kibaya zaidi hakuwahi kunikosea nilikuwa najisikia kutompenda na kuhamishia mapenzi kwa kimada lkn kimada huyo hakuwa mtu mzuri kwani alikuwa akipenda kujua sana mambo ya nyumbani kwangu mimi na mke wangu tunaishije,sikusita kumwambia na alikuwa akinishauri vizuri siku za mwanzo lkn baadae akawa anataka nimfanyie visa mke wangu nilikuwa nikimridhisha kwa kumuitikia ingawaje hakuridhika,akawa ananiambia nimpigie sim mke wangu nimseme ovyo nami nilifanya yote hiyo aamini nampenda.lkn kumbe mwenzangu mwingi wa habari kwasasa tumeachana nipo na my wife amenisamehe lkn mara nyingi namuona hana raha kuwa nami saa nyingine analia peke yake,NIFANYEJE MKE WANGU AWE NORMAL