Tuwe macho na nyumba ndogo

kobonde

Senior Member
Jan 6, 2010
154
19
Tamaa zimeniweka hapa nilipo sasa sina amani ndani ya nyumba nahisi kama nitalipiziwa kisasi,siku za nyuma kidogo nilikuwa na kimada nikampenda na kuanza kudharau mwandani na vituko vingi tu nilimfanyia kibaya zaidi hakuwahi kunikosea nilikuwa najisikia kutompenda na kuhamishia mapenzi kwa kimada lkn kimada huyo hakuwa mtu mzuri kwani alikuwa akipenda kujua sana mambo ya nyumbani kwangu mimi na mke wangu tunaishije,sikusita kumwambia na alikuwa akinishauri vizuri siku za mwanzo lkn baadae akawa anataka nimfanyie visa mke wangu nilikuwa nikimridhisha kwa kumuitikia ingawaje hakuridhika,akawa ananiambia nimpigie sim mke wangu nimseme ovyo nami nilifanya yote hiyo aamini nampenda.lkn kumbe mwenzangu mwingi wa habari kwasasa tumeachana nipo na my wife amenisamehe lkn mara nyingi namuona hana raha kuwa nami saa nyingine analia peke yake,NIFANYEJE MKE WANGU AWE NORMAL
 
sijui mkija mjini mkiwa watu wazima
ndo madhara yake haya au vipi?
utamdharau vipi wife wako kwa mwanamke
wa nje?
halafu unaambiwa fanya hivi na wewe unafanya????
anza kwa kupimwa akili,labda una tatizo la akili
wajanja huhakikisha wife hajui wala hapati sababu ya kulalamika.....
kila kitu ni kimya kimya kama nyoka....
 
Tamaa zimeniweka hapa nilipo sasa sina amani ndani ya nyumba nahisi kama nitalipiziwa kisasi,siku za nyuma kidogo nilikuwa na kimada nikampenda na kuanza kudharau mwandani na vituko vingi tu nilimfanyia kibaya zaidi hakuwahi kunikosea nilikuwa najisikia kutompenda na kuhamishia mapenzi kwa kimada lkn kimada huyo hakuwa mtu mzuri kwani alikuwa akipenda kujua sana mambo ya nyumbani kwangu mimi na mke wangu tunaishije,sikusita kumwambia na alikuwa akinishauri vizuri siku za mwanzo lkn baadae akawa anataka nimfanyie visa mke wangu nilikuwa nikimridhisha kwa kumuitikia ingawaje hakuridhika,akawa ananiambia nimpigie sim mke wangu nimseme ovyo nami nilifanya yote hiyo aamini nampenda.lkn kumbe mwenzangu mwingi wa habari kwasasa tumeachana nipo na my wife amenisamehe lkn mara nyingi namuona hana raha kuwa nami saa nyingine analia peke yake,NIFANYEJE MKE WANGU AWE NORMAL

mwambie huyo mkeo amPM noname......... ana ushauri fulani mzuri akiufuata tu hutamuona akilia tena.........
 
That is it! Nyumba ndogo sitaki kabisa kusikia katika maisha yangu maana najua adha yake. Nitajiandalia tatizo la baadae bila kujijua! Naomba mungu apitishie mbali balaa hilo!
Mzee hapo bwana ni kufanya toba ya kweli na kumthibitishia mweza wako kwamba kweli umejirudi. Ila tambua fika, imani ikishaondoka inataka kazi kuirudisha. Kesho na keshokutwa ataaminije umeacha kabisa mambo ya nyumba ndogo?
 
Kabonde, kwanza pole kwa yaliyokukuta. Pili, nadhani ushauri uwe wa kukusaidia wewe uwe NORMAL sio mke wako, yeye yuko normal na anachofanya sasa ni normal kwa mtu aliyeumizwa... wewe ndio hauko sawa kuanzia ulivyoanzisha na kuhandle mahusiano yako na the so called kimada mpaka namna unavyohandle consequences zake - yaani unadhani mkeo ndio hayuko normal - shame upon ur big face!


Annina
 
Ila kiukweli nyumba ndogo kuna raha aaa!! tuweni wakweli wanakwetu.
Jamaa angu mi nakushauri;
1.Mpende mkeo kama mwanzo.
2.Mheshimu katika kila jambo.
3.Msikilize
4.Mpe nafasi ya kuzungumza lolote lilobaya juu yako au jema ulilomfanyia,wanawake wanapenda sana kuongea maneno mengi mwache aoongee muda wote.
5.Mfanyie maradufu yale mema anayotaka kutoka kwako
6.Kuwa mbunifu zaidi - najua unaelewa hasa ninachosema hapa.
7.Fika nyumbani kwa muda stahili bila kuchelewa
8.Usijielezee sanaa kwa mamneno mengi unapochelewa kurudi nyumbani na usitoe maelezo kwa mkato.
9.Pata muda wa kukaa na mkeo pekee yenu.
10.Msifie anapofanya jambo la kukufurahisha mf. amependeza,mrembo,anakuvutia na unampenda.
11.Kula chakula chake kila anapoandaa hata kama utaonja sehemu nyingine hakikisha unakula home.
12.Mnunulie zawadi yoyote tu, si unajua mzee!!!!!!!!
13.Mwache awe huru kwa mambo yake,mf. simu yake,gari lake na mpe muda wake(me time).
14.Mtamkie unampenda mara kwa mara unavyoweza na bila macho ya aibu,kwasababu ni mkeo afu kumbuka huyo tu ndo mtu wa karibu yako,man.
15. Mjali Mkeo bwana na usimwonee aibu huyo ndo maisha yako,kaka!
 
Ila kiukweli nyumba ndogo kuna raha aaa!! tuweni wakweli wanakwetu.
Jamaa angu mi nakushauri;
1.Mpende mkeo kama mwanzo.
2.Mheshimu katika kila jambo.
3.Msikilize
4.Mpe nafasi ya kuzungumza lolote lilobaya juu yako au jema ulilomfanyia,wanawake wanapenda sana kuongea maneno mengi mwache aoongee muda wote.
5.Mfanyie maradufu yale mema anayotaka kutoka kwako
6.Kuwa mbunifu zaidi - najua unaelewa hasa ninachosema hapa.
7.Fika nyumbani kwa muda stahili bila kuchelewa
8.Usijielezee sanaa kwa mamneno mengi unapochelewa kurudi nyumbani na usitoe maelezo kwa mkato.
9.Pata muda wa kukaa na mkeo pekee yenu.
10.Msifie anapofanya jambo la kukufurahisha mf. amependeza,mrembo,anakuvutia na unampenda.
11.Kula chakula chake kila anapoandaa hata kama utaonja sehemu nyingine hakikisha unakula home.
12.Mnunulie zawadi yoyote tu, si unajua mzee!!!!!!!!
13.Mwache awe huru kwa mambo yake,mf. simu yake,gari lake na mpe muda wake(me time).
14.Mtamkie unampenda mara kwa mara unavyoweza na bila macho ya aibu,kwasababu ni mkeo afu kumbuka huyo tu ndo mtu wa karibu yako,man.
15. Mjali Mkeo bwana na usimwonee aibu huyo ndo maisha yako,kaka!


Enhe ndo gia zenu hizo tobaaa haya hizo nyumba ndogo zenu mnaleta maradhi na kujiongezea presha tu!
Mpe pole mwenzio maana anakumbuka shuka wakati kumeshakucha:rolleyes:
 
Ila kiukweli nyumba ndogo kuna raha aaa!! tuweni wakweli wanakwetu.
Jamaa angu mi nakushauri;
1.Mpende mkeo kama mwanzo.
2.Mheshimu katika kila jambo.
3.Msikilize
4.Mpe nafasi ya kuzungumza lolote lilobaya juu yako au jema ulilomfanyia,wanawake wanapenda sana kuongea maneno mengi mwache aoongee muda wote.
5.Mfanyie maradufu yale mema anayotaka kutoka kwako
6.Kuwa mbunifu zaidi - najua unaelewa hasa ninachosema hapa.
7.Fika nyumbani kwa muda stahili bila kuchelewa
8.Usijielezee sanaa kwa mamneno mengi unapochelewa kurudi nyumbani na usitoe maelezo kwa mkato.
9.Pata muda wa kukaa na mkeo pekee yenu.
10.Msifie anapofanya jambo la kukufurahisha mf. amependeza,mrembo,anakuvutia na unampenda.
11.Kula chakula chake kila anapoandaa hata kama utaonja sehemu nyingine hakikisha unakula home.
12.Mnunulie zawadi yoyote tu, si unajua mzee!!!!!!!!
13.Mwache awe huru kwa mambo yake,mf. simu yake,gari lake na mpe muda wake(me time).
14.Mtamkie unampenda mara kwa mara unavyoweza na bila macho ya aibu,kwasababu ni mkeo afu kumbuka huyo tu ndo mtu wa karibu yako,man.
15. Mjali Mkeo bwana na usimwonee aibu huyo ndo maisha yako,kaka!

Ndiyo hapo sasa! Mwingine anabondea nyumba ndogo mwingine anasifia....bahati ya mwenzio........
 
Pole sana kaka, hayo ndio maisha na siku zote tunajifunza kutokana na makosa! Kama kweli umejijua wewe ni mkosaji, basi zidisha apendayo, jitahidi kua mpole kipindi chote hasa unapoona anajisikia vibaya, mbembeleze sisi wanawake tnapendwa kubembelezwa, keep on doing that, ipo siku atarejea katika hali yake ya kawaida na ndio itakuwa moja kwa moja. Mtakuwa kwenye ukurasa mpya!
 
Pole sana kaka, hayo ndio maisha na siku zote tunajifunza kutokana na makosa! Kama kweli umejijua wewe ni mkosaji, basi zidisha apendayo, jitahidi kua mpole kipindi chote hasa unapoona anajisikia vibaya, mbembeleze sisi wanawake tnapendwa kubembelezwa, keep on doing that, ipo siku atarejea katika hali yake ya kawaida na ndio itakuwa moja kwa moja. Mtakuwa kwenye ukurasa mpya!

Maneno murua kabisa hayo. Ukimuumiza mwenzio kimapenzi basi ni kuomba samahani mara chungu nzima na kumbembeleza kadri uwezavyo. Kila la heri Mkuu.
 
Pole.
nyumba ndogo huwa ziko kwa ajili ya kutaka kitu fulani. ikishapata tu, sababu zinaanza.. Ulikosea sana kumsema vibaya My wife wako...
Je uliwahi kumwambia una mwanamke mwingine? Au kubadilika kwako tabia ndio kulimfanya alihisi una mwanamke nje????
 
Pole.
nyumba ndogo huwa ziko kwa ajili ya kutaka kitu fulani. ikishapata tu, sababu zinaanza.. Ulikosea sana kumsema vibaya My wife wako...
Je uliwahi kumwambia una mwanamke mwingine? Au kubadilika kwako tabia ndio kulimfanya alihisi una mwanamke nje????
tabia zangu chafu zilimfanya ahisi na alikuja kugundua baada ya mimi kuachana na mwanamke wa nje na nilifanya yote hii kusudi aniamini lkn naona kama nimeharibu
 
That is it! Nyumba ndogo sitaki kabisa kusikia katika maisha yangu maana najua adha yake. Nitajiandalia tatizo la baadae bila kujijua! Naomba mungu apitishie mbali balaa hilo!
Mzee hapo bwana ni kufanya toba ya kweli na kumthibitishia mweza wako kwamba kweli umejirudi. Ila tambua fika, imani ikishaondoka inataka kazi kuirudisha. Kesho na keshokutwa ataaminije umeacha kabisa mambo ya nyumba ndogo?
Itakuwa safi kama utakuwa hivyo,sasa hivi hata niende kwa rafiki zangu nikirudi kanuna
 
Ila kiukweli nyumba ndogo kuna raha aaa!! tuweni wakweli wanakwetu.
Jamaa angu mi nakushauri;
1.Mpende mkeo kama mwanzo.
2.Mheshimu katika kila jambo.
3.Msikilize
4.Mpe nafasi ya kuzungumza lolote lilobaya juu yako au jema ulilomfanyia,wanawake wanapenda sana kuongea maneno mengi mwache aoongee muda wote.
5.Mfanyie maradufu yale mema anayotaka kutoka kwako
6.Kuwa mbunifu zaidi - najua unaelewa hasa ninachosema hapa.
7.Fika nyumbani kwa muda stahili bila kuchelewa
8.Usijielezee sanaa kwa mamneno mengi unapochelewa kurudi nyumbani na usitoe maelezo kwa mkato.
9.Pata muda wa kukaa na mkeo pekee yenu.
10.Msifie anapofanya jambo la kukufurahisha mf. amependeza,mrembo,anakuvutia na unampenda.
11.Kula chakula chake kila anapoandaa hata kama utaonja sehemu nyingine hakikisha unakula home.
12.Mnunulie zawadi yoyote tu, si unajua mzee!!!!!!!!
13.Mwache awe huru kwa mambo yake,mf. simu yake,gari lake na mpe muda wake(me time).
14.Mtamkie unampenda mara kwa mara unavyoweza na bila macho ya aibu,kwasababu ni mkeo afu kumbuka huyo tu ndo mtu wa karibu yako,man.
15. Mjali Mkeo bwana na usimwonee aibu huyo ndo maisha yako,kaka!
Kweli kuna raha lkn mwisho ni kasheshe ni kheri kuiepuka hiyo raha kama bado hyajakukuta,nashukuru kwa ushauri nitajitahidi
 
sijui mkija mjini mkiwa watu wazima
ndo madhara yake haya au vipi?
Utamdharau vipi wife wako kwa mwanamke
wa nje?
Halafu unaambiwa fanya hivi na wewe unafanya????
Anza kwa kupimwa akili,labda una tatizo la akili
wajanja huhakikisha wife hajui wala hapati sababu ya kulalamika.....
Kila kitu ni kimya kimya kama nyoka....


mzungu mmoja aliambiwa ukifika tanzania ukiuliza swali lazima ujibiwe na swali..alipofika airport akauliza nasikia tanzania mkiuliza maswali mnajibu kwa maswali""akajibiwa ""nani kakwambia""

amefanya kosa kuuliza swali hapo juu hatopata jibu jf
ndugu labda kwa kukusaidia tu usiangalie majibu yanayokukatisha tamaa ...biblia inasema """kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu akamtoa mwanae pekee ili kila amwaminie awe na uzima wa milele""kama unaamini hivyo basi ujue msamaha uko kwa ajili yako...........

Labda muhimu naomba nikuhabarishe kuna dhambi nyingine unaweza kumtendea mtu kwa macho kumbe unamtendea mungu...especially wanawake ..wle huwa wanasema na mungu straight maombi yaop yanajibiwa haraka sana..ndio maana ukiwa na shida nyumbani muite mkeo ukiomba mwenyewe shuguli unayo...so naomba ni kuwatch out

zipodhambi ambazo ausamehewi mpaka umwombe radhi mungu na utaje upuuzi wote uliokuwa ukifanya na hapo mungu anakusamehe..na kama possible sali ukiwa na huyo mkeo.....unaweza ukaona umeomba msamaha kwa mkeo amesema nimekusamehe lakini mungu bado ajakusamehe mpaka uombe toba ya kweli kwa mungu akupe rehema zake...usijali utosamehewa utasamehewa ila ili usimame imara tubu na kwa mungu wako ukiwa na mkeo!!!

Nawatakia nyumba bora yenye mafanikio bila wa
 
mwambie huyo mkeo amPM noname......... ana ushauri fulani mzuri akiufuata tu hutamuona akilia tena.........

AKili habari za jumapili? weekend vipi huko? Imekuwa hivyo tena? haya bana..

Kibonde muembe msamaha mkeo lakini usirudie tena...itachukua muda kusamehewa lakini wanawake tuna very soft hearts... she will forgive u, time hills :rolleyes: but be good with her... show her that you have changed and are ready to make up with her
 
tabia zangu chafu zilimfanya ahisi na alikuja kugundua baada ya mimi kuachana na mwanamke wa nje na nilifanya yote hii kusudi aniamini lkn naona kama nimeharibu

Kama hujamwambia, mimi kwa upande wangu, naona bora usimwambie sasa hivi, tuliza bolu ila lazima umwambie atakapotuliza hasira.. Usiongeze mafuta kwenye moto.. Jaribu kuhisi kama hilo jambo angefanya yeye, hata angeomba msamaha wa aina gani, lisingetoka moyoni kwako. Na siku moja ungelipiza kisasi.
 
Back
Top Bottom