Tuwawajibishe wabunge

Mr.kibulala

Member
Nov 8, 2011
58
20
Nimefuatili vikao vya wabunge kwa muda sasa,ila cha kusikitisha sana wabunge wanalalamika tu,na kukubali majibu rahisi kutoka kwa serikali. KWA HYO WANANCHI WENZAGU TUCHUKUE JUKUMU LA KUWAWAJIBISHA WABUNGE WETU KWANI TUMEWAAJIRI SISI NA HILI TUHAMASISHE WATZ 2LIWEKE KTK KATIBA MPYA IJAYO.

INAUMA JAMANI 2talalamika mpaka lini? Wanaiba kila kukicha.

Nawakilisha
 
Tunawawajibisha vipi? Wataalam wa sheria tuambieni kisheria tunaweza kuwawajibisha vipi kabla ya uchaguzi ujao.
 
Back
Top Bottom