Mr.kibulala
Member
- Nov 8, 2011
- 58
- 20
Nimefuatili vikao vya wabunge kwa muda sasa,ila cha kusikitisha sana wabunge wanalalamika tu,na kukubali majibu rahisi kutoka kwa serikali. KWA HYO WANANCHI WENZAGU TUCHUKUE JUKUMU LA KUWAWAJIBISHA WABUNGE WETU KWANI TUMEWAAJIRI SISI NA HILI TUHAMASISHE WATZ 2LIWEKE KTK KATIBA MPYA IJAYO.
INAUMA JAMANI 2talalamika mpaka lini? Wanaiba kila kukicha.
Nawakilisha
INAUMA JAMANI 2talalamika mpaka lini? Wanaiba kila kukicha.
Nawakilisha