Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Wazo hili limekuwa linajia kichwani mara kwa mara hasa baada ya kukutana na Mtanzania mwenzetu, ndg,Zacharia Zamokewakati anaanza kufanya utafiti wake juu ya namna ya kutengeneza Incubator, nilivutiwa zaidi baada ya kukutana na Dada mmoja aitwaye Vida Mahimbo, na kujua historia ya namna alivyoanza kwenye designing and Fashion hususani khanga Jeans. Na sasa baada ya kusoma kitabu cha William naona ni wakati muafaka.
Labda kwanza tujiulize; Ni vijana wangapi wanaogundua vitu vyenye maana na kazi zao zinapotelea angani? Ni vijana wangapi wameshindwa kuziendeleza tafiti zao zenye manufaa kwa jamii kwa ukosefu wa elimu? Ni vijana wangapi tunawaona kama ni vichaa wanapoanza kutengeneza vitu vyenye manufaa, na badala ya kuwasaidia tunawakatisha tamaa? Je hatuna uwezo wa kuwaendeleza watu hawa, au hatutaki kuwaendeleza watu hawa? Na ni vijana wangapi, ambao kama wangesaidiwa, kazi zao zingeweza kuboresha hali ya maisha ya Jamii zetu? Ndugu mwanaJF wakati ukiwa unatafakari maswahi hayo, naomba unipe muda wako na tusafiri pamoja ili tukakutane na;
1. Zacharia Zamoke- Imberruz
Huyu kwa kutambua umuhimu wa ufugaji wa kibiashara, aliamua kuwekeza nguvu zake kwenye utengenezaji wa Incubators za kienyeji kwa kutumia malighafi zilizomzunguka, lakin baada ya miezi tisa akafanikiwa kuja na Mashine yake. Baada ya kuonekana na kusaidiwa, now he is making a Brand na amebalisha namna Watanzania walivyokuwa wanauangalia utotoleshaji wa vifanga hasa maeneo yasiokuwa na umeme. Anapatikana HAPA kwa sasa
2. William Kamkwamba - Moving Windmill
Huyu ni school dropout, ambaye alikosa ada, lakini akiwa na umri wa miaka 14 aliweza kutengeneza mtambo wa kuzalisha umeme, kwa kutumia local resources na blueprint ya kwenye kitabu cha Fizikia. Kama bado hujapata kitabu chake THE BOY WHO HARNESSED THE WIND, nakushauri ukitafute kwani hutajutia fedha yako. It had a profound impact on me.
3 . Vida Mahimbo – Khanga Jeans
Tanzanian designer Vida Mahimbo has set her sight towards conquering the fashion world with her creative khanga jeans collections. She now conquer Europe,African and US market, with the same collection. Huyu ni mtengenezaji maarufu wa Jeans za akina Dada maarufu kama "khanga jeans", (hii ni Brand mpya kabisa katika ulimwengu wa fashion), lakin nae aliweza kufanikiwa baada ya kupata Msaada kutoka kwa Waitaliano. Unaweza ukampata HAPA
WanaJF,kwa kutambua uwepo wa wadau wetu katika sehemu kubwa ya nchi hii, na kwa kutambua uwepo wa watu (innovators) wanaojihusisha na uvumbuzi, huko vijijini na uvumbuzi wao unapotelea angani bila kuendelezwa au kuwa inspiration kwa watu wengine. Ninaomba yeyote mwenye taarifa za watu wa aina hii wawe wanatupia taarifa hizo kwenye thread hii ili tuweze kuwathamini na kuwaendeleza
Did I hear everyone say "Amen?"
Thank you.
Tunahitaji kuwatambua ili tuwathamini na kuwaendeleza
One individual can make a Difference.
Labda kwanza tujiulize; Ni vijana wangapi wanaogundua vitu vyenye maana na kazi zao zinapotelea angani? Ni vijana wangapi wameshindwa kuziendeleza tafiti zao zenye manufaa kwa jamii kwa ukosefu wa elimu? Ni vijana wangapi tunawaona kama ni vichaa wanapoanza kutengeneza vitu vyenye manufaa, na badala ya kuwasaidia tunawakatisha tamaa? Je hatuna uwezo wa kuwaendeleza watu hawa, au hatutaki kuwaendeleza watu hawa? Na ni vijana wangapi, ambao kama wangesaidiwa, kazi zao zingeweza kuboresha hali ya maisha ya Jamii zetu? Ndugu mwanaJF wakati ukiwa unatafakari maswahi hayo, naomba unipe muda wako na tusafiri pamoja ili tukakutane na;
1. Zacharia Zamoke- Imberruz
Huyu kwa kutambua umuhimu wa ufugaji wa kibiashara, aliamua kuwekeza nguvu zake kwenye utengenezaji wa Incubators za kienyeji kwa kutumia malighafi zilizomzunguka, lakin baada ya miezi tisa akafanikiwa kuja na Mashine yake. Baada ya kuonekana na kusaidiwa, now he is making a Brand na amebalisha namna Watanzania walivyokuwa wanauangalia utotoleshaji wa vifanga hasa maeneo yasiokuwa na umeme. Anapatikana HAPA kwa sasa
2. William Kamkwamba - Moving Windmill
Huyu ni school dropout, ambaye alikosa ada, lakini akiwa na umri wa miaka 14 aliweza kutengeneza mtambo wa kuzalisha umeme, kwa kutumia local resources na blueprint ya kwenye kitabu cha Fizikia. Kama bado hujapata kitabu chake THE BOY WHO HARNESSED THE WIND, nakushauri ukitafute kwani hutajutia fedha yako. It had a profound impact on me.
Huyu nae aliweza kufanikiwa baada ya kusaidiwa na wamerekani. Unaweza ukampata kwenye CLIP HII lakini anza HIIMoving Windmills share William's inspiring story with his fellow Africans, sparking initiatives to improve their difficult circumstances. William inspired his village to change the way it sees itself, and now because of him, many Malawians are building windmills, digging wells and harnessing their imagination.
3 . Vida Mahimbo – Khanga Jeans
Tanzanian designer Vida Mahimbo has set her sight towards conquering the fashion world with her creative khanga jeans collections. She now conquer Europe,African and US market, with the same collection. Huyu ni mtengenezaji maarufu wa Jeans za akina Dada maarufu kama "khanga jeans", (hii ni Brand mpya kabisa katika ulimwengu wa fashion), lakin nae aliweza kufanikiwa baada ya kupata Msaada kutoka kwa Waitaliano. Unaweza ukampata HAPA
WanaJF,kwa kutambua uwepo wa wadau wetu katika sehemu kubwa ya nchi hii, na kwa kutambua uwepo wa watu (innovators) wanaojihusisha na uvumbuzi, huko vijijini na uvumbuzi wao unapotelea angani bila kuendelezwa au kuwa inspiration kwa watu wengine. Ninaomba yeyote mwenye taarifa za watu wa aina hii wawe wanatupia taarifa hizo kwenye thread hii ili tuweze kuwathamini na kuwaendeleza
Did I hear everyone say "Amen?"
Thank you.
Tunahitaji kuwatambua ili tuwathamini na kuwaendeleza
One individual can make a Difference.