Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
usiwe na wasiwasi, mkulu ameshai-sign ile sheria kimya kimya. Mambo ya jinsi na jinsia sio issue tena. We ji-express utakavyo.
natafta kitufe cha pm
usiwe na wasiwasi, mkulu ameshai-sign ile sheria kimya kimya. Mambo ya jinsi na jinsia sio issue tena. We ji-express utakavyo.
Makubwa, nimechekea moyoni nisije nikamshitua.
Umecheka nini sasa?
Najisinzisha tu akanyage ulimbo aone ntakavyomnyonyoa manyoya
Ziltan mi labda nipo kwenye jokes zaidi kuliko MMU
Anakuja WashaWasha yupo njianiNyie ruke rukeni weeee lkn mtu mzima WASHA WASHA ndio mtama kwa watoto. Hakuna siku aliniacha hoi kama siku aliyo-isuuza chupi ya mpangaji mwenzie ambaye ni demu na kuleta kizaa zaa na mkewe.
Nasikitika kuwa ame-Log off komplitily. Madamu mumemtaja WashaWasha yupo njiani ata log on Karibuni kuanzia sasa
Where you brazza washa boy?!
WashaWasha ame Log Off Kisungura sungura atarudi si punde tu utamuonaame log off kiukweli kweli..
Hahahahah washaWasha ana Makeke mengi hi thread Hii imemkosa leo mie Nalog OffHata mie nimem-miss na chungwa lake
Makeke mengi
you never said how yours looked... lolIs it not size of maka...?
Nionavyo mimi, ukiondoa Jukwaa la Siasa, Jukwaa maarufu zaidi ni hili la MMU. Jukwaa hili lina visa, hoja, vioja na viroja.
Vipo visa vya kweli na vingine vya kutunga.
Wapo wanaotafuta marafiki, wengine wanatafuta wachumba, wengine wake/waume. Wapo waliopata wenza wa maisha, wapo waliochumbia madume au majike wenzao bila kujua.
Pia wapo wanandoa wanaotafuta wenza wapya wakati tayari wamo kwenye ndoa!
Leo napenda kuwatambua vinara wa Jukwaa hili; naanza na....
Marytina...
Tuendeleze orodha.
you never said how yours looked... lol
Aaaaah maandamano ni kupita sehemu yenye watu wengi ili ujumbe wako ufike sa we unataka habari za uchochoroni tena?!tuandamane basi
ila tupite uchochoroni
Bishanga vipi?enzi hizo wakati MMU ikiwa imepamba moto na kabla ya kuvamiwa na watoto. wafuatao walikuwa wanatoa hoja nzito:
- Woman of Substance
- Mwanajamiione
- Aspirin
- Teamo
- Acid
- Lizzy
- Firstlady1
- JS
- Rev. Masanilo
- The Boss
- Nyani Ngabu (a.k.a. Miafrika ndivyo tulivyo)
Dena Amsi, nawe ni mmoja wa Mateja wa MMU, sijakuona kitambo! Where are you Lassie?
Kuna zawadi?
Kitu ambacho members wengi twasahau ni kua mtu mgeni kuwika ni kazi rahisi for bado ana mzuka na hujituma kweli kweli kuchangia na kujichanganya... I thinki ingekuwepo a salient system kua mtu ambae ni under miezi 6 awezi kua accredited ni super star na hali bado ni mbichi.... Katika michango.. threads mbali mbali za kale ambzo hua napitia kuna watu nakubali saana michango yao but sina bahati ya kukutana nao mara kwa mara... Mfano mzuri ni Woman of Substance.... She is quiet something... Na I appreciate her....
Alomtaja Kaizer kama Star naomba nijue kama ni me ama ke? lol
Huyo amepotea tu siku hizi, she used to be VERY active (naskia, lol)!Kitu ambacho members wengi twasahau ni kua mtu mgeni kuwika ni kazi rahisi for bado ana mzuka na hujituma kweli kweli kuchangia na kujichanganya... I thinki ingekuwepo a salient system kua mtu ambae ni under miezi 6 awezi kua accredited ni super star na hali bado ni mbichi.... Katika michango.. threads mbali mbali za kale ambzo hua napitia kuna watu nakubali saana michango yao but sina bahati ya kukutana nao mara kwa mara... Mfano mzuri ni Woman of Substance.... She is quiet something... Na I appreciate her....
Alomtaja Kaizer kama Star naomba nijue kama ni me ama ke? lol