Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
wana jf tuwashukulu wadao wanao tuwezesha kupata mikutano na maandamano ya chadema pande zote za tz nijinsi gani wanatuonyesha walivo na uchungu na watanzania wenzao ombi kwachadema wajitahidi kutujuza habali kira sehem nawasilisha