Tuwasaidie ndugu zetu wa Egypt mali aliyoiba Mubaraka irejeshwe.

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Avaaz .org. ni vuguvugu la kutetea haki za binadamu na demokrasia duniani kote. Mara hii linakusudia kukusanya saini kuziwasilisha kwa serikali za ulimwenguni kote ambako inasemekana Mubarak amejikusanyia mali za kuiba kutoka kwa nchi yake.
Saini yako ni muhimu, inahitajika. Jiunge na Avaaz.org na tuma saini yako.
Fungua link hii, chagua lugha yako na jiandikishe.
http://www.avaaz.org/es/mubaraks_fortune/97.php?cl_tta_sign=de7b3452a0f6cfae564a9b5b24e78601
 
Back
Top Bottom