Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Tusiingize siasa kwenye hali ya hewa. Ni vema kuchukua tahadhari kabla ya shari na kujifunza kujiandaa na majanga. Kupuuzia utabiri kumewaponza wengi katika nchi mbalimbali. Siombei mabaya, ila sidhani kama nchi yetu ia uzoefu wa kutosha kumudu majanga kama ya mafuriko na vimbunga.
Ukichukua tahadhari unajieweka fit linapotokea la kutokea, wenzetu wa nchi zilizoendelea, kutokana na misukosuko ya majanga a=ya asili, kuna wakati wananchi wao hujaribu hata kufnya mazoezi wakati kuko shwari ili kujenga uwezo wa watu wake kumudu majanga na kupunguza maafa.
Ukichukua tahadhari unajieweka fit linapotokea la kutokea, wenzetu wa nchi zilizoendelea, kutokana na misukosuko ya majanga a=ya asili, kuna wakati wananchi wao hujaribu hata kufnya mazoezi wakati kuko shwari ili kujenga uwezo wa watu wake kumudu majanga na kupunguza maafa.