Lord K
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 213
- 37
Ndugu zangu,kama mtu akipora simu tunamshambulia kwa nawe,marungu na hata kumchoma moto kwa Sababu ya hasira na kutokuwa na imani na jeshi la polisi...naomba tuungane katika kampeni hii,kila anayejulikana kama fisadi tusimuonee haya wala huruma.hivi tunashindwa nini kuwapiga mawe hawa au tunawaogopa? Hatuna imani na Polisi wala Mahakama sasa tunasubiri hawa watu wawajibishwe kwa njiaipi? Tuwaangamize hawa watu kwa mikono yetu wenyewe.... kama tunavyo wapunguza vibaka.
Nawasilisha.
Nawasilisha.