Jamani ugali iwe wa mahindi au wowote mwengine ni mtamu,lakini kwa kweli ugali wa mahindi ambao wengine huuita sembe au sima ni vyema kujizoesha kuwachana nao.Kabla kusikia hoja zangu nyinyi mwasemaje?.
Hatuna usemi!.....!Jamani ugali iwe wa mahindi au wowote mwengine ni mtamu,lakini kwa kweli ugali wa mahindi ambao wengine huuita sembe au sima ni vyema kujizoesha kuwachana nao.Kabla kusikia hoja zangu nyinyi mwasemaje?.
Ule ni kinyesi tu tule dong
Jamani ugali iwe wa mahindi au wowote mwengine ni mtamu,lakini kwa kweli ugali wa mahindi ambao wengine huuita sembe au sima ni vyema kujizoesha kuwachana nao.Kabla kusikia hoja zangu nyinyi mwasemaje?.
Ahhahahaaah mkuu umegusa penyewe, halafu huyu jamaa eti anasema tuachane nao! tule nini sasa wakati ugali ndio chakula chetu kikuu.Aagh achaneni na NGUNA (UGALI) nyieeeee. Ukiwa Morogoro songa Ugali halafu lumangia na kipande cha NGURUKA, mkuu waweza jng'ata. Ukiwa A-town (Arusha) vile vile pika UGALI wako halafu nunua wale samaki wanaokaangwa na akina mama kwenye magenge, wale samaki wanatoka bwawa la nyumba ya Mungu ni balaa tupu. Ukiwa Dar kula ugali na Kipande cha Papa, Kibua au changu wallahi utasahau km kuna kitu chaitwa NYAMA. Ukiwa Nyumbi hii bombi hii (SONGEA) kula Ugali na Dagaa nyasa au samaki wa ziwa nyasa wanaitwa Mbelele au MBASA mamaaaaaaaaaaaaaaaaa usisahau na lidelele (mlenda). Hahaha Ukiwa Sumbawanga kula Ugali kwa NSWA (kumbikumbi) hahahaha mambo hayoo wadau UGALI MTAMU BANA, uwe sembe au dona whatever MAN!!!!!!!!!!!.
Nakiri tumeishiwa thread za kuanzisha
Aagh achaneni na NGUNA (UGALI) nyieeeee. Ukiwa Morogoro songa Ugali halafu lumangia na kipande cha NGURUKA, mkuu waweza jng'ata. Ukiwa A-town (Arusha) vile vile pika UGALI wako halafu nunua wale samaki wanaokaangwa na akina mama kwenye magenge, wale samaki wanatoka bwawa la nyumba ya Mungu ni balaa tupu. Ukiwa Dar kula ugali na Kipande cha Papa, Kibua au changu wallahi utasahau km kuna kitu chaitwa NYAMA. Ukiwa Nyumbi hii bombi hii (SONGEA) kula Ugali na Dagaa nyasa au samaki wa ziwa nyasa wanaitwa Mbelele au MBASA mamaaaaaaaaaaaaaaaaa usisahau na lidelele (mlenda). Hahaha Ukiwa Sumbawanga kula Ugali kwa NSWA (kumbikumbi) hahahaha mambo hayoo wadau UGALI MTAMU BANA, uwe sembe au dona whatever MAN!!!!!!!!!!!.
Nakiri tumeishiwa thread za kuanzisha
Tuambie basi kwann tuache wengine ni chakula kikuu kwetu!
ugali ndo umetukuza wenzio hadi leo. hata kama kuna vyakula vingine, tusipokula ugali tunaona kama tumelala na njaa. kwanini tuache ugali?