tuungane kupinga uzazi unaotokana na infidelity

mmmhh haya
mie naona kuzini ni kama dhambi nyingine tu..
kwa mimi sikubaliani na kusema kla kitu kwa partner wako...( vitu ambavyo ulifanya kabla hata hukumjua)
kama we waona kusema kila kitu ndo solution basi kweli sema vyote, oungo, uwizi, kutamani n.k..

maana na uhakika hata na huyo mwenza naye atakwambie vyake....
na labda vingi hutavifurahia..
au anaweza akatae kusema au anaweza kukudanganya zaidi..
mmmhhhh sababu huwezi ingia ndani ya akili/moyo na kusoma kipi ukweli na kipi uongo..
so itabidi uamini anachosema tu..

kwa hiyo kwa mimi nilichofanya kabla ya kukutana na mume wangu...
ni kita baki hivyo hivyo..
akini uliza ntamwambia ukweli..
lakini wanaume wengi hawataki kujua mkeo alifanya nini
au ali lala na nani kabla hawakuoana..

kama wote wamepima na wako salama..
dhambi zote zinasamehewa..
ukitubu kwa nia na unyenyekevu...

duuhh samahani kwa maneno mengi...

ni kweli, lakini tuseme vile ambavyo vinatushtaki, kama mtu unajisikia vizuri hakuna haja.

Thanks afrodenzi, afrodenza anataka kulala. usiku mwema.
 
ni kweli, lakini tuseme vile ambavyo vinatushtaki, kama mtu unajisikia vizuri hakuna haja.

Thanks afrodenzi, afrodenza anataka kulala. usiku mwema.

yap hapo nakubaliana nawe kabisa Afrodenza..
kama nafsi inakusuta ni borea useme ili uwe na amani..

nway usiku mwema dear..
 
Apo juu hamjaamka (AD na tabutupu) maana Klorokwini kaenda kumtibu mtu?
 
nitaanza na huyu husninyo, halaf atakuja kuwahadisia wenziwe. mimi ni mhadhiri maarufu sana wa haya masuala.

ha ha ha ha!
Mi mwenyewe mhadhiri. Nitakufundisha na wewe. Haki sawa hapa. Sio mi nibane we uachie.
 
ha ha ha ha!
Mi mwenyewe mhadhiri. Nitakufundisha na wewe. Haki sawa hapa. Sio mi nibane we uachie.

heheheh, umekuja. mhadhiri wako kasema yupo lab no. 9 anakusubiri!!. ujumbe ndoo huu maelezo mengine lab.
 
Nimeiona tena kwa bahati hii thread. Majuzi siku ya mtoto wa Africa tulipata tenda ya kutoa huduma za IT kwenye kongamano kwa hiyo nikawepo ukumbini. Sikuwa na kazi nyingi kwa hiyo nikapata nafasi ya kusikiliza mjadala. Mwezeshaji akauliza washiriki kwamba imagine ungekuwa mtoto mdogo na ikawa ni lazima upate mzazi wa kambo, ungependa mzazi huyo awe ni baba au mama? Washiriki karibu wote (ukumbi ulikuwa na watu zaidi ya 60) wakataja kuwa bora baba wa kambo. Kisha akauliza kuhusu nani yuko tayari kulea mtoto wa kambo. Ajabu wanaume wote wakasema hawapendi na hawataki kulea mtoto wa kambo ('Bao apige mwingine kulea nilee mie!). Wanawake wakasema wako tayari kulea mtoto wa kambo lakini awe tu yule aliyezaliwa kabla ya ndoa na si wakati wa ndoa yake na baba mtoto. Nikajifunza: kumbe watoto wanaozaliwa katika hizi infidelity maskini ya Mungu wangependa walelewe na baba japo wa kambo (labda ili wasitenganishwe na mama zao), lakini wanaume (baba watarajiwa) hawataki mtoto wa kambo! Wanaumia sana kihisia hawa watoto. Uzazi wa infidelity hapana hapana hapana haufai hata kidogo.
 
Kama kuna mtu anazaa kwa makusudi mimi namuita mbinafsi. Hamna raha kama mtoto kulelewa na wazazi wawili. Maana kuna kipindi watoto wanakuwa na discussion shuleni mtoto yambidi ajieleze mimi nakaa na mama tu; kwa wanaoishi na baba na mama kambo pia ni kazi maana kuna kuteswa. Wenzie wanasimulia experiences za baba zao; mtoto anajiuliza what happened ninaishi na mama tu? Tunakubali kuna bahati mbaya ila kuna tunaowafahamu mitaani wanzaa na waume za watu just because ni wanaume wenye pesa; hawasumbui akili zao kuhusu effect ya kisaikolojia itakayo mpata mtoto. Akishajengewa nyumba na kununuliwa gari na mume wa mtu basi, anaona mwanangu ana kila kitu. Kumbe hana father's love.




Nimeiona tena kwa bahati hii thread. Majuzi siku ya mtoto wa Africa tulipata tenda ya kutoa huduma za IT kwenye kongamano kwa hiyo nikawepo ukumbini. Sikuwa na kazi nyingi kwa hiyo nikapata nafasi ya kusikiliza mjadala. Mwezeshaji akauliza washiriki kwamba imagine ungekuwa mtoto mdogo na ikawa ni lazima upate mzazi wa kambo, ungependa mzazi huyo awe ni baba au mama? Washiriki karibu wote (ukumbi ulikuwa na watu zaidi ya 60) wakataja kuwa bora baba wa kambo. Kisha akauliza kuhusu nani yuko tayari kulea mtoto wa kambo. Ajabu wanaume wote wakasema hawapendi na hawataki kulea mtoto wa kambo ('Bao apige mwingine kulea nilee mie!). Wanawake wakasema wako tayari kulea mtoto wa kambo lakini awe tu yule aliyezaliwa kabla ya ndoa na si wakati wa ndoa yake na baba mtoto. Nikajifunza: kumbe watoto wanaozaliwa katika hizi infidelity maskini ya Mungu wangependa walelewe na baba japo wa kambo (labda ili wasitenganishwe na mama zao), lakini wanaume (baba watarajiwa) hawataki mtoto wa kambo! Wanaumia sana kihisia hawa watoto. Uzazi wa infidelity hapana hapana hapana haufai hata kidogo.
 
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.

Naona tuuite ufisadi wa uzazi!

But,takwimu inaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume,sasa wale wanaobaki si nao watapenda kuzaa?Je,wanawake watakubali waolewe zaidi ya mmoja kwa mume mmoja?dini zetu je?so,lazima wengine watakuwa single mothers,watazaa na nani?(infidelity)!naona ugumu japo ninapinga.Cha msingi tusimhukumu mtoto ambaye ni zao la infidelity.
 
Naona umekuja kivingine, nakubaliana sana na huo msimamo wako, lakini nauchukia pia kwa sababu unaambatana na kiburi, dharau na matusi.

Unakuwa kama huishi kwenye dunia hii, ambayo hata Bwana Yesu alisema Tunaishi kwa Neema sio kwa matendo ya sheria. Unakuwa kama vile wewe hujawahi kutenda dhambi, wala hutendi dhambi.

Ashukuriwe Mungu kwa sababu yeye haangalii kama mwanadamu anavyoangalia, Siku moja Mfalme daudi alimkosea Mungu, akasema ni afadhali kuangukia ktk mikono ya Mungu kuliko kwene mikono ya mwanadamu.

Napingana na uovu wa namna yoyote na ninamheshimu Mungu. Lakini sipendi mtu anaekemea dhambi kwa kiburi na matusi, zaidi hata ya Mungu mwenyewe anavyotuonya.

BARIKIWA

Mheshimu mwanadamu bali Muumba ni lazima tumwogope sote.........................
 
sikia dear
mimi ninachosema swala la mtoto ni watu wawili...

swala la kusema mwanamke ndo anatakiwa azuie mimba wakati
wewe unapata starehe zako za kutoa mbegu zako ndani yake
si kubaliani nalo..

sikia kama unataka kwenda pekupeku ( hakikisha unatoa kabla maji hayakumwagika)
kama hilo ni gumu Condom ndo solution ...
na kwa nini kwanza usivae kama mtu si mkeo?

jibu lako hilo hapo unalo CONDOM..
unaua ndege wawili kwa jiwe moja..
au vipi...


Surely and without a doubt....................hii ndiyo tiketi ya kupata mimba zisizo na mipangilio.........
sikia kama unataka kwenda pekupeku ( hakikisha unatoa kabla maji hayakumwagika)

kabla mwanaumme hajaanza kushughulika yale mawazo tu kuwa yupo njia moja inatosha kwa mbegu kuanza kububujika..................pale ambapo sasa zinasikika kuwa zinaanza kumwagika basi it is a case of locking the stable after the horses have bolted...................mbegu zinakuwa zimetinga wavuni na nanga zimepandishwa tayari kwa safari ya kulisaka yai lilipo na kupachika mimba ya uhakika bila ya zengwe.....lolote lile..............kondomu..........yes it is much better though not a perfect solution...............the best solution remains abstinence...........
 
Back
Top Bottom