Simiyu one
Member
- Jun 16, 2012
- 26
- 4
msitu wa TISS
Msitu wa Zombe
msitu wa Dk. Ulimboka
mkuu niwie radhi kabla sijakushush busha!
Habari zenu wana jamii, nimetafakari sana na kutaka kudadisi na kuufahamu huu msitu wa PANDE. Mara ya kwanza nilianza kuusikia huu msitu pale ambapo polisi waliwamiminia risasi za visogo wafanya biashara wawili wa madini pamoja na dereva tax wao...
Kweli JF siku tumepoteza hadhi na heshima yetu na hii akifanya mmoja msalaba unatushukia wote, leo badala yakuongelea mambo ya maana tunaongelea thread yakuupa msitu jina, hii ndio objective ya JF kweli ? Tubadilike wana JF tunashuka hadhi kila siku
Kweli JF siku tumepoteza hadhi na heshima yetu na hii akifanya mmoja msalaba unatushukia wote, leo badala yakuongelea mambo ya maana tunaongelea thread yakuupa msitu jina, hii ndio objective ya JF kweli? Tubadilike wana JF tunashuka hadhi kila siku