daniel paul
Member
- Nov 29, 2011
- 16
- 3
jamani wana jf tuwe wastaarabu kwa kujali muda. mapenzi yawe na muda wake na kazi zipewe muda wake. kuna tukio moja lili tokea katika wilaya ya kahama tar 13 februar ambapo mhandisi wa halmashauri alitoka ofisini saa nne asub na kwenda kuchukua mke wa mtu na kwenda kufanya nae mapenzi. tena mme wake ni mwalimu. mungu si athuman akabambwa live saa nne. wananchi walitaka kumpa kipondo lakin police ndio wakamhokoa. na tena hicho chumba alikiandaa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo. sasa kwanini anatumia muda wa kazi kwa ajili ya mapenzi tena ya wizi wa mke wa mtumishi mwenzake