Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye information wanijuze ni mashine za aina gani rahisi zinahihatajika kwenye usindakaji ,ukataji na ushonaji wa ngozi ? ni wapi naweza kupata mashine hizo na pia ambopa naweza kuagiza sole za aina mbalimbali? je kuna chuo chochote hapa tanzania au east africa ambacho kinatoa kozi fupi ya utengenezaji wa viatu vya ngozi?