Nazani Kama Hatuna macho ya kuona au kama Hatuna masikio ya kusikia, Basi Tutazame Historia, Tuone Historia inatukumbusha nini?
Daima Tukiangalia Historia tutaona kwamba UDHALIMU au NGUVU au UBABE au UONEVU dhidi ya Jamii inayokandamizwa huwa ina mwisho. Tuliona Hitler, Musolin, Poland na Ushoshalisti wao na pengine pia, walikuja lakini Mwishowe Nguvu ya Umma ya Wanyonge Walikuja kushinda au kupata nafasi ya Kutulia dhidi ya uonevu au ukandamizaji waliokuwa wanatendewa.
Nazani ningependa kuwakumbusha watu wachache, Wenye kupenda kuwakandamiza Watanzania, au kuwaonea au kwa makusudi kupitisha mikataba ya kujirikimbizia mali huku wakijua kuwa wanawapa Mzigo watanzania- Kuwa wasisahau Mwisho wa hayo yote yapo, na mwisho huwa mbaya sana na aibu.
ALUTA CONTINUA, Tanzania Itasonga na Siku moja Watanzania watakuja kuonja Raha na Matunda Ya nchi yao.
Daima Tukiangalia Historia tutaona kwamba UDHALIMU au NGUVU au UBABE au UONEVU dhidi ya Jamii inayokandamizwa huwa ina mwisho. Tuliona Hitler, Musolin, Poland na Ushoshalisti wao na pengine pia, walikuja lakini Mwishowe Nguvu ya Umma ya Wanyonge Walikuja kushinda au kupata nafasi ya Kutulia dhidi ya uonevu au ukandamizaji waliokuwa wanatendewa.
Nazani ningependa kuwakumbusha watu wachache, Wenye kupenda kuwakandamiza Watanzania, au kuwaonea au kwa makusudi kupitisha mikataba ya kujirikimbizia mali huku wakijua kuwa wanawapa Mzigo watanzania- Kuwa wasisahau Mwisho wa hayo yote yapo, na mwisho huwa mbaya sana na aibu.
ALUTA CONTINUA, Tanzania Itasonga na Siku moja Watanzania watakuja kuonja Raha na Matunda Ya nchi yao.