Tutayarishe future mapema

Chinga boy

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
412
101
Naam wadau,nimeleta hii mada baada ya kuona jinsi baadhi ya watu wanavyohangaika after retire.Nimebahatika kufanya kazi ktk makapuni mbalimbali ya cm toka kwa provider na macontractor kama tech ktk towers.Nilichoona wengi wa walinzi ktk towers ni askari wastaafu ama polisi au jwtz na wakipewa mshahara kati ya elf 80 hadi lak na na mshahara wenyewe hadi tarehe 40 na kila ukifika pale kwa kuelewa hali ngumu walönayo basi inakupasa kuwapatia walau hata buku 2.Hivyo nachukua fursa híi kuwakumbusha vijana wenzangu tujiandalie future mapema .
 
Ngoja niwaambie kitu,,unawaona hao ndo wanaohangaika wanapostaafu kwa sababu
1;wanaishi bure, hawajui kodi ya nyumba wakiwa wanafanyakazi,
2;vitu vya msingi huwa wanavipata kwa bei ya chini ktk maduka yao

hiyo ndio siri kubwa ya kushindwa. Hata na wewe mtoa mada ambaye sa hv unatembelea gari la kampuni haujui bei ya mafuta,full time ni full tank,ngoja ustaafu kama utakuwa unaweka full tank
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom