'TUTASUSIA Mkutano-CCM''

Taarifa zilizofika dawatini sasa, baadhi ya viongozi Wa Mashina wa CCM,wametishia kususia mkutano wa kesho viwanja vya Jangwani ndani ya Jiji la DSM.

Viongozi Hao ambao wanalalamika kwamba pesa iliyotolewa Kwenye Kampeni inayojulikana Kama 'Jaza uwanja' Kwa ajili ya kufanya hamasisho imechakachuliwa..

Viongozi Hao ambao waziwazi wanasema bila pesa hafanywi Mjinga Mtu hapa, wanadai fedha za Usafiri wamepewa vijana wahuni ambao wametafuta mafuso mabovu.. Wazee Hao wanasema hapandi fuso Mtu hiyo kesho waletewe mabasi laini..

Bila Aibu wanasema wangekabidhiwa wao bahasha hizo wangewahamasisha raia wao waende hata pasipo usafiri, Lakini Kwa kuwa madiwani wameingilia zoezi hilo Basi wakajipange wao huko jangwani Kesho..

Wamemwambia Mwenyekiti wa CCM DSM, kwamba hawataki kuasi vuguvugu alilolianzisha mwenyekiti wa bodi ya wadhamini wa Chama Peter Kisumo, Lakini pia hawataki kufanywa wapuuzi, pesa wale wengine kazi wafanye wao..

Amavipi ingejulikana wazi kwamba Chama hakijatoa fungu lolote, Na tufanye Kwa moyo Kwa Ujenzi wa Chama Basi wangekuwa radhi kukitumikia Chama Kwa atayeweza.. Lakini Kwa tabia hii ya Kula wale wengine Na kubebeshwa Chama tubebe sisi, hakuna bogaz kwenye kizazi hiki wameng'aka wazee hawa.

Wazee hawa wamedai barua Kali walizosambaziwa zinazowashurutisha wao kwamba kiongozi ambaye hataleta watu kwenye mkutano wa kesho atajadiliwa vikali.. Tishio Hilo wamesema hawaliogopi..

My Take..!
CCM wakijitahidi wakaweka mziki Wa nguvu Na kukodi taarabu za kutosha plus TOT, maeneo ya jangwani bado yana wakazi wabishi ambao hawajang'oka kuhamia Mabwepande, watakuja kusikiliza midundiko.. Ila hotuba zikianza hapo uwanja utakuwa mweupe..


Leo hadi mkutano wa chama dume uishe wengi wenu mtakuwa mmelazwa hospitali, kwani presha ni juu sana na mnaweweseka, kweli mmeshikwa pabaya aisee. Habari yako ni CRAAAAAAAAAAAAAAP hakuna kitu km hicho uwanjani leo hapatoshi, mie huyo nasepa naelekea jangwani kwa wenye Dar es salaam yao, wale waliopita wote walikuwa wahamiaji waliokuja kupitia mbio za mwenge.
 
Uongo mtupu huu.
ndugu enisisiara wa kaskazini tanzania,anasikitia kutangaza kifo cha nyinyiem,kilichotokea 2010-2015,mazishi yatafanyika kesho 2015.Habari ziwafikie,shangazi wa marehemu tibisii wani wa daresalaam,mke wa marehemu siyuefu wa pwani ya tanzania,wifi wa maremu tielopii wa kaskazini mwa tanzania,binti wa marehemu udipi akiwa shinyanga,ndugu,jamaa na marafiki wote popote pale walipo. Utarudia mwenyewe zomba
 
Jamani sijajua,Lusinde"futuhi" atakuwepo jangwani? Nakuomba sana nape umpe nafasi jamaa huyu,atakijenga sana chama chenu leo.
 
kwani kujaa kwa watu ndio kupendwa, wengine wamemiss miziki na watataka kuwaona wasanii walioalikwa baada ya hapo no new, ni kuchapa rapa na yatayoongelewa no tija kwao
 
Back
Top Bottom