Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo
Dumb nut
Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo
Siyo degree za kujisifu, utakapo fanikiwa kupata degree ndiyo utamuelewa MARO BM alichokuwa anamaanisha. Kwasasa ni ngumu sana kwako kumuelewa. Hii maada ungeipeleka Facebook ingefaa sana maana kule kuna wanao fanana na wewe wengi sana.
Bila shaka we ni undergraduate pale saut au arusha maana degree holder anaejielewa,MA na kuendelea hawawezi kuandika huu upuuzi....alwayz insane neva daut!
Siyo degree za kujisifu, utakapo fanikiwa kupata degree ndiyo utamuelewa MARO BM alichokuwa anamaanisha. Kwasasa ni ngumu sana kwako kumuelewa. Hii maada ungeipeleka Facebook ingefaa sana maana kule kuna wanao fanana na wewe wengi sana.
eti wana jf matokeo ya waliomaliza pepa la kidato cha nne necta mwaka jana yanatoka lini....?
NIMESIKIA WENGINE WANASEMA MWEZ WA NNE ,WENGINE MWEZI WAPILI , Nipate uhakika kutoka kwenu....
eti wana jf matokeo ya kidato cha nne necta mwaka jana yanatoka lini..
KAULIZE NECTA..
Na nyie wa QT mkipata nafasi huwa malimbukeni! MARO BM na Wewe si VIYU T (QT's)
Kitu kinadondoka kexho wakuu so be care.
You are correct. QT with pass in Form V exam is the best, rather than Five French Fathers Fighting For Food For Four Years (F,F,F,F,F,F,F,F)= 0 PTS35
Bila shaka we ni undergraduate pale saut au arusha maana degree holder anaejielewa,MA na kuendelea hawawezi kuandika huu upuuzi....alwayz insane neva daut!