Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wakuu, tutarajie muda wowote kuanzia sasa yule kada Namba 1 wa CCM katika jeshi la polisi kuutangazia umma kwamba kuanzia sasa itakuwa ni kosa la jinai kwa watu wowote, wanaokwenda mahakamani kwa ajili ya kesi zao wanazoshitakiwa, au kwenda kusikiliza kesi nyingine yoyote, iwapo watu hao wataondoka hapo mahakamani kwa miguu.
Baada ya kesi ni lazima watu wote waondoke mahakamani kwa kutumia usafiri wa magari.
Baada ya kesi ni lazima watu wote waondoke mahakamani kwa kutumia usafiri wa magari.