Naombeni msaada wenu, nimefungua Blog yangu inayohusu maswala ya elimu na biashara. Swali langu ni jinsi ya kitufe cha komenti wakati mtumiaji anatumia simu, nimejaribu nikakuta inanionyesha pale kwenye kuchagua kati ya anony au zile option nyingine zinajificha na huwezi publish email bila ya hicho kitufe. Naombeni msaada. Pia nataka kuweka blog ninazozipenda ziwe zinaonekana front page sasa sioni au sijui lugha embu mwenye uelewa anijuze.
Nawapongeza JF maana mimi sikuwahi kuwa memba wala kuijua ila jana kuna rafiki yangu wakati namwelekeza hili tatizo akanielekeza hapa, hivyo sina budi kuwapongeza maana mmekuwa mkitambulika na kuthaminiwa
Nawapongeza JF maana mimi sikuwahi kuwa memba wala kuijua ila jana kuna rafiki yangu wakati namwelekeza hili tatizo akanielekeza hapa, hivyo sina budi kuwapongeza maana mmekuwa mkitambulika na kuthaminiwa