hiyo niniliyu ya kumniniliyiya unayo? Nasikia too much overuse mpaka kamebakia kapenseli,kwi kwi kwu kwi....ndo mana Amyner alikuacha akaenda kwa Nyani Ngabu.
we nae kwa kukremu!
ruttashobolwa mwambie Bishanga asinizoee tena na wala asijipendekeze kwa mpenzi wangu The secretary
Ujumbe kwa Remmy
'Nitakupenda daima kama ninavyompenda Amyner '
Huku niko nakumiss tu lovendo natoka usingiZini za toka juzi? kuna nini?
si mpaka?
uliapa hutoweza kunikosea,kumbe umenikabidhi kwa idhini yako kwa Erickb52 yakinishinda nitarudi
Hayawezi kukushinda The secretary we relux kula raha love!kumbe umenikabidhi kwa idhini yako kwa Erickb52 yakinishinda nitarudi
Mungu wangu hii ndio asprin na bishanga mnapigania? na mmemuwekea picha bazazi mwingine akiona chinene hii lazima awake tuuu