engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
angalia sasa Tanzanian Train
hehehehehehehehehehehehehehehehehe
haya fananisha na hiiiii chini
TUTAFIKA KWELIIIIIIIIIIII?
ni ndoto. Labda baada ya miaka 200 ijayo.
Mmh! Lini hiyo...Tutafika husninyo akiwa raisi.
SINA imani na hawaviongozi na vizazi vyao kama kweli watatutoa hapaNdoto huwa ni halisi,tunachoitaji na Nia na uthubutu.Uwezo tunao na rasilimali watu tunayo.Kwa aina ya resources just naturally tulizonazo tusinge lalamika hata.
kaka unataka tufanye jitihada zipi? tuibe? kama kazi tunafanya sana, tunalima sana wapi pa kuuza mazao yetu? baadhi yanaozea shambani hata njia ya kusafilishia ngumu kwenu,tufanye nini mkuuuuuuu,tupe njia basi,haya kama haitoshi tumechaguwa viongozi shupavu basi watusaidie kama magufuri amekatishwa tamaaaaaaaa kabisa na wakulu wa nchi,sasa@ lymo tueleza nini tufanye kutokaUsikate tamaa; wewe umefanya jitihada gani katika kuboresha mambo mbalimbali? Changamoto ni nyingi, hivyo tusibaki kulalamika. CHukua hatua