bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
mtanzania wa kawaida hawezi amini kua taasisi za serikali na wizara mbalimbali zinanunulia senior officers wake nyama za kitoweo nyumbani kama huamini fika pale duka la nyama la ranch ya kongwa karibu na clock tower, nilifika kutaka kupata nyama safi na kuchangia ranch kwani ni mali ya umma cha kushangaza wale tuliokua na cash watu binafsi tulikosa karibu 4 hours kila oda inayotoka ndani ni ya wizara au taasisi fulani ma senior officer wake wanapelekewa na dereva na gari za stj na su ndio zilikua zinabeba! hata nyama hawawezi nunua? tena ni ma senior staff likes of ministers etc
hata cjui kama kweli wanalipa au ndio kuiua kabisa iyo ranchi! its really unbelievable!
hata cjui kama kweli wanalipa au ndio kuiua kabisa iyo ranchi! its really unbelievable!