Mbaha
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 697
- 73
Huyu Slaa kashindwa uchaguzi sasa anataka watu wauwane.
Kinachouwa watu siyo maandamano wewe!! Kinachouwa watu ni mabomu ya machozi na bunduki za rashasha... ambazo Dr. na wafuasi wake hawana. Najua unafahamu fika wenye vitu hivyo ni wakinanani!!!!! You'll never kill our spirit this time!!! Paka kieleweke!!