First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
achilia mbali wasani wa nchi zingine wanaotisha kama Nganga, kwa Tz hawa majamaa wawili nani ni mkali zaidi kwa mtazamo wako?
Mi namuweka Peter Msechu.
Mi namuweka Peter Msechu.
achilia mbali wasani wa nchi zingine wanaotisha kama Nganga, kwa Tz hawa majamaa wawili nani ni mkali zaidi kwa mtazamo wako?
Mi namuweka Peter Msechu.
<br />Ingekuwa ni kura za atoke ningemwambia IAN apige kura ya turufu amtoe HEMED.. kama mliangalia sunday kuna mdada aalisema "Not all MUSICIAN are singers" Hemed ni sharobalo tu hana lolote.. AIBU nyingine kwa TZ...(Umeme, Jairo+UDA+Mafuta+3 Tillioni+Hemed)
achilia mbali wasani wa nchi zingine wanaotisha kama Nganga, kwa Tz hawa majamaa wawili nani ni mkali zaidi kwa mtazamo wako?
Mi namuweka Peter Msechu.