tusiwanyooshee kidole madaktari, kodi zetu zinakwenda serikalini ivyo serikali ndo iwajibike

Munru

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
1,340
664
kila mtu anahaki ya kugoma na kuandamana.
Madaktari mmetisha. Ila anaeumia ni sisi maskini.
kimsingi Madaktar wapo sahihi kwani serikali imeonyesha kutokujali makubaliano.

Nadhani umefika wakat wa sis wananch kudai haki yetu.

Tunahaki ya kupewa huduma za afya. Kwan tunatoa kodi.
Huduma za afya hatutadai kwa madaktar kwani wao hawapokei kodi zetu.
Wananchi muda umefika tuamke . Tupigane haki ya msingi.
420589_277832055619839_139188202817559_599851_1340565932_n.jpg tutaendelea kuzulumiwa mpaka lini watanzania wenzangu ?? New Picture.png
 
Well, uko sahihi. kama ni "sisi serikali kuifanyia nn",,tuneshafanya sana kwa kulipa kodi lukuki,na mengineyo!
 
aise we ni great thnker for really. Hawa vilaza wanaowapigia kelele madaktari natamani kama wangepitia hii busara uliyoiweka hapa.
 
aise we ni great thnker for really. Hawa vilaza wanaowapigia kelele madaktari natamani kama wangepitia hii busara uliyoiweka hapa.

Unafikiri hao wanaowapigia kelele madaktari uwa ni waelewa ilo mkuu?uwa ni vichwa mawe mno
 
kweli wanacheza na kodi zeru hawa,maana wengine hiyo muhimbili ndo India yetu ati,ohoooo!kama vp,vp tuuu
 
Back
Top Bottom