augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Hawa FFU ni maroboti hebu waangalie wakiwa kwenye defender na mavazi yao jinsi unavyo waona ndivyo walivyo.Hata ukiwambia wasukume mlima wanaenda kusukuma tena hata ukiwaambia wameze mabou mengine wananameza hawana muda wa kufikiri.Hawatakiwi KUSOMA sana hawa wataelevuka na kugoma kutii amri ya mkuu waache hivyohivyo wawe maroboti.Tena walipe mishahara midogo wasinenepe wakakashindwa kufanya kazi?wapewe pombeZA BEI YA CHINI walewe ILI WAKOSE MUDA WA KUFIKIRI KWA MAKINI.