Tusitupe Majina Ya Ukoo

watoto wangu wote wana majina ya asili na la ubatizo... sitaacha kutumia majina ya asili!

bongo kuna sharlene, Sharon, alvin, beyonce, madeleine, etc... sasa sikiliza watoto wenzao wanavyoyatamka, ni kituko!!!

Ndipo hapo mtoto anaitwa Sean kama Diddy Combs, lakini mtaani wenzake wanambadili jina anakuwa "Shani".
 
Hakika waafrika wengi hawapendi tena kuyatumia majina haya kwa kuiga uzungu. na wale wanayoyatumia sasa wamebadili namna ya kuyatamka au kuyaandika: yanatamkwa kizungu na kuandikwa kizungu. Yaani tumekwisha kabisa.

Kwa nini hatujali chetu sisi wabongo?? Mbona majina yetu ni mazuri sana na tena yana maana nzuri tu? Nakumbuka miaka ya huko nyuma nilisoma na jamaa yangu mmoja kutoka Cuba (mweusi) alikuwa anatamani sana kuwa na jina la pili (la ubini) kama langu kwani yeye jina lake lilikuwa lina-sound kizungu. Yaani kila wakati alikuwa anataka awe na jina la kibantu. Nikamwambia akirudi kwao afanye process ya kubadili jina. Na nikampendekezea aitwe Kalumanzila. Alifanikwa! Mpaka ninapoandika hivi huyo jamaa anitwa (jina la pili) Kalumanzila. Ana furaha tele kujitambulisha kama mwafrika.

Mwanzisha mada amegonga panapotakikana. Ulimbukeni huu upo hapa hapa JF, achilia mbali huko shuleni na kna kazini. Angeanzia kurusha madongo hapa JF, maana hapa napo wamejaa wazungu kibao!
Utakuta kuna majina kama
Babylon
First Lady,
Lily Flower,
Invincible
Field Marshal
PlanckScale
n.k.

Kwa nini msitumie majina ya ubin kama Idimi, Mwanakijiji, Mkandala, Nyamayao. Nguli, Kiranga, Nzalalila, Mwakisu, Rwegoshora n.k
 
Naomba nitoe kero langu ...

Hivi inakuaje wabongo wengi sikuizi wameacha kutumia majina yao ya ukoo (kibantu)? Labda nakosea, lakini nilivyoku primary miaka ya sabini, sikumbuki wabantu kujiita “John Lucas”, “Peter Alfred”, “Maria Moses” n.k. Hapa pia nawakosoa hata wale wabantu wanao jiita "Amina Abdallah" au "Jabir Mohammed".

Sawa unaweza kuwa mkristo au muislamu, lakini jina laukoo lakibantu kwanini ulitupe??
I may be too much of an “African fundamentalist, but I think jina la ukoo (au la kikabila, au la familia) lina make a strong connection to where you come from - your history, your culture, your people,etc. Unless I see you face-to-face, I think if you tell me your name is "Beatrice William", I will automatically assume your European! Sorry, but I have yet to meet a white European with a name similar to kinjekitile or Mwamseka…

What are we becoming? Yes, we should take from other cultures that which will help us better ourselves, but let’s not dwell on those attributes that will disconnect us from our land. Remember our ancestors (and especially here in East Africa) worked this land for centuries…


Asante
Sasa kuna wengine hawataki kabisaaaa kusikia wakiitwa majina yao ya utoo......... YALE YALE YA NYAGEMA ANATAKA AITWE 2PAC
 
Mwanzisha mada amegonga panapotakikana. Ulimbukeni huu upo hapa hapa JF, achilia mbali huko shuleni na kna kazini. Angeanzia kurusha madongo hapa JF, maana hapa napo wamejaa wazungu kibao!
Utakuta kuna majina kama
Babylon
First Lady,
Lily Flower,
Invincible
Field Marshal
PlanckScale
n.k.

Kwa nini msitumie majina ya ubin kama Idimi, Mwanakijiji, Mkandala, Nyamayao. Nguli, Kiranga, Nzalalila, Mwakisu, Rwegoshora n.k
Kweli kabisaaaaaaaa................ kitu NGALIKIHINJA bwana .....full kibantu
 
Mwanzisha mada amegonga panapotakikana. Ulimbukeni huu upo hapa hapa JF, achilia mbali huko shuleni na kna kazini. Angeanzia kurusha madongo hapa JF, maana hapa napo wamejaa wazungu kibao!
Utakuta kuna majina kama
Babylon
First Lady,
Lily Flower,
Invincible
Field Marshal
PlanckScale
n.k.

Kwa nini msitumie majina ya ubin kama Idimi, Mwanakijiji, Mkandala, Nyamayao. Nguli, Kiranga, Nzalalila, Mwakisu, Rwegoshora n.k
ni kweli mkuu!majina kama
MGOLOLA FINYONGE
CHAMVANGA
MWAKYUSA
KITUTILE
MBOMBO NGAFU
I FIINGI FI DSUMBAGE
CHANIKA
UU LUKALIKALI LWA NNJWAA
IDENYIMEMBE
MAKISHEKE
UTUDAHO

haya ndo majina yetu na mila zetu zitaendelea kudumu kama tutakuwa na majina haya
 
ni kweli mkuu!majina kama
MGOLOLA FINYONGE
CHAMVANGA
MWAKYUSA
KITUTILE
MBOMBO NGAFU
I FIINGI FI DSUMBAGE
CHANIKA
UU LUKALIKALI LWA NNJWAA
IDENYIMEMBE
MAKISHEKE
UTUDAHO

haya ndo majina yetu na mila zetu zitaendelea kudumu kama tutakuwa na majina haya
Thijakuelewa.........yaani unasapoti halafu jina lako LINAPINGA.........!!!!????
 
I stated the initial post that it is a good thing to embraces those ideas from other cultures that can enhance our living standards. I believe the adoption of scientific worldview will have a positive impact on our social-living standard. My use of planckscale is a reflection of this view point.

The "Scale" in Planck-scale defines specific time [age], size, and the energy of the universe, just after the beginning of our universe's existence. According to modern physics, it is the time after which, the fundamental force [law] that characterized our earlier universe fragmented into the four fundamental forces (gravity, electromagnetic, strong force, and the weak force) that we are experiencing to day.

The "Planck" in the Planck-Scale, signifies one of the most fundamental constant of nature...and takes its fundamental value at the Planck-Scale Era, as it relates to the energy/wavelength and size of the fundamental particle of the radiation energy - the photon.

The achievement in the understanding of the Planck-Scale era is indeed one of the greatest human intellectual ability.

Sorry for being off-topic, but umenikuna...
Majina yangu ya ukweli hayana element zozote za kiarabu, kizungu, wala kiyahudi...;).
Thijakuelewa...............yaani mpaka utukonvisi ndo tuone kuwa username yako ni ya kibantu.......???!!! Inatakiwa liwe linajieleza lenyewe............yaaani mpaka ulikate ulimege na kulidismento ndo lionekane la kibantu............ hebu cheki kitu hili CHIMUNGURURU............ yaani chenyewe kinasema huna haja ya kusidismento wala kua-n'disimento
 
No Mabala hii thread si yake maana yeye katupa jina la ukoo wake, hii thread ni ya kutotupa majina ya ukoo/ asili ya mtu.

Nimekupata mkuu, lakini it is interesting kwamba huyu mzungu ka-adopt jina la Mabala solely because he wants to associate himself with his new "found land". Some of us are doing precisely the opposite - choosing names that are disassociating us from "our land".

I could have forgiven wabongo ambao wamehamia, let's say Ujerumani, nakuona umuhimu wa kuadopt to Germans names. Lakini si hivyo ndugu yangu. Unamkuta Myakyusa (au Mpare) anajiita Peter Lucas hapa hapa bongo...:confused:
 
tatizo la wa Africa (Tanzania), tumekubali kwa kiasi kikubwa kuwa brain washed kwa asilmia kubwa, unakuta mtoto anajina zuri tu la kiafrica lakini likitamkwa watu wanamcheka , lakini la kiingereza lenye maana sawa na hilo linaonekana ni bora

mfano- SMITH ni sawa kuliko MFUACHUMA
BELL ni sawa kuliko KENGELE
McNIGHT ni sawa kuliko CHAUSIKU
 
Naomba nitoe kero langu ...

Hivi inakuaje wabongo wengi sikuizi wameacha kutumia majina yao ya ukoo (kibantu)? Labda nakosea, lakini nilivyoku primary miaka ya sabini, sikumbuki wabantu kujiita "John Lucas", "Peter Alfred", "Maria Moses" n.k. Hapa pia nawakosoa hata wale wabantu wanao jiita "Amina Abdallah" au "Jabir Mohammed".

Sawa unaweza kuwa mkristo au muislamu, lakini jina laukoo lakibantu kwanini ulitupe??
I may be too much of an "African fundamentalist, but I think jina la ukoo (au la kikabila, au la familia) lina make a strong connection to where you come from - your history, your culture, your people,etc. Unless I see you face-to-face, I think if you tell me your name is "Beatrice William", I will automatically assume your European! Sorry, but I have yet to meet a white European with a name similar to kinjekitile or Mwamseka…

What are we becoming? Yes, we should take from other cultures that which will help us better ourselves, but let's not dwell on those attributes that will disconnect us from our land. Remember our ancestors (and especially here in East Africa) worked this land for centuries…


Asante

Watanzania wa bara wengi walikuwa wakitumia majina ya ukoo, nadhani siku hizi wamepunguza labda kwa sababu ya chimbuko la ukabila linalotishia sasa hivi. Lakini mikoa ya pwani watu wengi wanatumia majina ya baba zao sana kuliko kutumia majina ya ukoo. Kwa mfano nenda Lindi pale sokoni ukatamke Amina Ali, au Amina Saidi or my favorite Somoe Saidi. Watu mia tau hivi watatokea kwa jina moja. Itabidi useme unamtafuta Somoe gani ndipo qualifier itakapotolewa Somoe Saidi Nachenga or Somoe Saidi Mtumbatu etc.

Pia nimewahi kukutana na mke aliyekataa kuwapa watoto walke jina la ukoo la mume wake kwa sababu alisema linasound too kikabila cha huyo baba. ( needless to say it sounded funny and childish but they are her children)
 
Naomba nitoe kero langu ...

Hivi inakuaje wabongo wengi sikuizi wameacha kutumia majina yao ya ukoo (kibantu)? Labda nakosea, lakini nilivyoku primary miaka ya sabini, sikumbuki wabantu kujiita “John Lucas”, “Peter Alfred”, “Maria Moses” n.k. Hapa pia nawakosoa hata wale wabantu wanao jiita "Amina Abdallah" au "Jabir Mohammed".

Sawa unaweza kuwa mkristo au muislamu, lakini jina laukoo lakibantu kwanini ulitupe??
I may be too much of an “African fundamentalist, but I think jina la ukoo (au la kikabila, au la familia) lina make a strong connection to where you come from - your history, your culture, your people,etc. Unless I see you face-to-face, I think if you tell me your name is "Beatrice William", I will automatically assume your European! Sorry, but I have yet to meet a white European with a name similar to kinjekitile or Mwamseka…

What are we becoming? Yes, we should take from other cultures that which will help us better ourselves, but let’s not dwell on those attributes that will disconnect us from our land. Remember our ancestors (and especially here in East Africa) worked this land for centuries…


Asante
duhh sasa nikuulize swali hawa watoto wa metro utawafanyaje. Kizazi kipya cha mchanganyiko wa makabila babu morogoro bibi mbeya baba morogoro (ndio kwetu huko) mama mozambique, baba dar es salaam lakini kwanza bibi na babu ni dar es salaam na kigoma duuh na ndugu zangu waluguru majina wanasola kwa wajomba zao ha ha ha ha we usiseme lakini hii inajadilika nikiumuita mwanang mwajabu mbona watu wanachemka, majina ya uswahilini. Nikienda kumwita mwanagu mwamba (tafsiri ya Petro) jamaa hawambatizi duhh na mimi mkristo he he he yaani hii inajadilika kwelikweli lakini tunahitaji watu wa saikolojia na sosholojia wanaoujua mbele na nyuma, mtandawazi na utandawazi na kisha homa ya majina ya wachezaji wa ligi ya kiingereza teh tehe na tena homa ya kizazi kipya majina yasiyotamkika peng peng duhh hii inajadilika halafu tamu kwelikweli
 
Back
Top Bottom