Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Nilisoma na mtoto wa kigogo mmoja jina lake la kwanza ni "Mpilingondo" sitataja jina la baba yake wala la ukoo. Alikuwa akiyatumia yote matatu. Na wala hakuna aliemuuliza au kudai anajaza mstari kwa jina lake.
Tulikuwa tunamcheka tena tukamtungia wimbo, lakini sasa hivi naona umuhimu wake.
Tulikuwa tunamcheka tena tukamtungia wimbo, lakini sasa hivi naona umuhimu wake.