Tusitumie miili yetu kitegauchumi cha mapato-tukielekea weekend

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
Wapwa habarini za mchana wengine asbh wengine kwao usiku basi tu comp aisemi lakini yoote kwa wale leo ijumaa wapendwa si haba kuangalia tutaondokanaje na laiti ningalijua..tusije lalamika
nikimaanisha si vyema ukaaribu mwili wako kwa uzinzi kwa kuwa n weekend na unatakiwa kutumia
yapo mambo ama sehemu nyingi za kwenda usiku wa leo kuna mkesha sehemu zifuatazo

KIBAHA- KANISA LA VICTORY CHURCH

UFUFUO NA UZIMA -PALE KAWE

Na mengine mengi tu kumbuka usingizi sana ni dhambi kumbuka kumwabudu mungu wangapi wameshindwa kuiona leo hii unaposoma wewe hii msg je umempa muungu nini ama una nini uwe na uhai mpaka sasa..paulo anasema ni neema ya mungu tu imenifanya niwe hivi nilivyo
je si bora ukaanza kuutafuta ufalme wa mungu upate uheri wa maisha yako ya mileele
je mbinguni utakunywa SERENGETI.KILIMANJARO,VYALUUUUU,KONYAGI la hasha kula neno la mungu ukishindia mwili wako madhabahuni

Jribu leo uone baaraka za mungu,,najua zipo sehemu nyingi zikiwa na wanaume kwa wanawake wakiwasubiri wale wasio wake muumba..lakinisi haba ukasikia sauti hii na kuogopa kwenda kufanya uhasi wa uzinzi..usitumie miili yenu kama sehemu za kutengenezea pesa ama kujifurahisha...ndio maana kwenye sanduku unakuwa pekeyako..wale wakina nani mnaofwata mshikaji kaenda huku angalia sana utalia akiwa ndani ujui anavaa nini ...wewe unakimbilia tu..polen sana na MUNGU atupe weekend njema

rgds

Appostlle Pdidy
 
Pdidy anachekesha sana. Unajua fika kuwa kuna watu wengi miili yao wanaitumia kama vitega uchumi, watu wamefaulu mitihani kwa kutumia miili yao, watu wamepata ubunge na uwaziri kwa kutumia miili yao, wengine hata wamepata hata pesa na magari kwa kutumia miili yao. Uzinzi imekuwa ni way of life kwa sasa, ukitaka kujua angalia mahudhurio ya guest house na makanisani, au guest house na misikitini utaona kuwa guest house zinawateja wengi sana kuliko misikiti na makanisa.
 
Wapwa habarini za mchana wengine asbh wengine kwao usiku basi tu comp aisemi lakini yoote kwa wale leo ijumaa wapendwa si haba kuangalia tutaondokanaje na laiti ningalijua..tusije lalamika
nikimaanisha si vyema ukaaribu mwili wako kwa uzinzi kwa kuwa n weekend na unatakiwa kutumia
yapo mambo ama sehemu nyingi za kwenda usiku wa leo kuna mkesha sehemu zifuatazo

KIBAHA- KANISA LA VICTORY CHURCH

UFUFUO NA UZIMA -PALE KAWE

Na mengine mengi tu kumbuka usingizi sana ni dhambi kumbuka kumwabudu mungu wangapi wameshindwa kuiona leo hii unaposoma wewe hii msg je umempa muungu nini ama una nini uwe na uhai mpaka sasa..paulo anasema ni neema ya mungu tu imenifanya niwe hivi nilivyo
je si bora ukaanza kuutafuta ufalme wa mungu upate uheri wa maisha yako ya mileele
je mbinguni utakunywa SERENGETI.KILIMANJARO,VYALUUUUU,KONYAGI la hasha kula neno la mungu ukishindia mwili wako madhabahuni

Jribu leo uone baaraka za mungu,,najua zipo sehemu nyingi zikiwa na wanaume kwa wanawake wakiwasubiri wale wasio wake muumba..lakinisi haba ukasikia sauti hii na kuogopa kwenda kufanya uhasi wa uzinzi..usitumie miili yenu kama sehemu za kutengenezea pesa ama kujifurahisha...ndio maana kwenye sanduku unakuwa pekeyako..wale wakina nani mnaofwata mshikaji kaenda huku angalia sana utalia akiwa ndani ujui anavaa nini ...wewe unakimbilia tu..polen sana na MUNGU atupe weekend njema

rgds

Appostlle Pdidy


Well said Pdidy!!
 
Back
Top Bottom