Wana jf nimekuwa nikifuatilia kwa makini hali inavyoenda na maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi wenzangu,asilimia kubwa wakitetea madaktari kuhusu madai yao,ila moja tu la msingi nililogundua sisi maskini ndio tutakufa kwa kukosa huduma hasa kama serikali itapuuza madai yao.sasa hali ilipofikia ni pabaya baada ya waziri mkuu kuwaamrisha warudi kazini.nadhani inabidi tufanye kitu ili wajue tunahitaji huduma bora na wala si madaktari kwenda tu kusign tu mahudhurio