Tusitegemee makubwa toka kwa CHADEMA

CCM itaendelea kukaa madaralkani kwa KULAZIMISHA ushindi mpaka ITAKAPOSHINDWA kulazimisha USHINDI
 
Chadema wakichukua nchi mfuko wa Saruji utauzwa Sh500 "Dr. W. Slaa"

huo unoko utaacha lini muwe mnawasikiliza jamani japo hamuwapendi. Alisema tsh 5000 siyo tsh 5oo. Fikiria kama angepita bibi yako angeishi kwenye nyumba ya makuti?
 
Tumechoka na chama cha familia, kama baba yako au mama yako hakuwa kiongozi basi ujue utasotea magwanda ya kijani na fulana mpaka unazeeka, tunataka mabadiliko na Chadema ndio wataoleta mabadiliko hayo ndani ya nchi hii. Tunashangaa miaka 50 ya Uhuru vyakula bei juu, tumewachoka kwani hamna jipya iliyobaki sasa hv kila kiongozi utamkuta kwenye Media anawakosoa wenzake.
 
huo unoko utaacha lini muwe mnawasikiliza jamani japo hamuwapendi. Alisema tsh 5000 siyo tsh 5oo. Fikiria kama angepita bibi yako angeishi kwenye nyumba ya makuti?

Mimi bibi yangu anakaa mtaa wa mafia Kariakoo ana nyumba yake..labda bibi yako..

Haya mfuko Sh5000 kweli inaingia akilini?
 
kwlel ukishindwa kutoa sababu za kutokubaliana na hoja hii basi ni kweli umaskini wa fikra umetawala mawazo. We should be very critical analysts.
umaskini wa fikra ni umaskini mkubwa kuliko aina yoyote ya umaskini, ni bora ukose elimu ,pesa n.k kuliko uwe maskini wa fikra........tafakari.
 
Watanzania sisi tumekalia siasa,na ili ndo limetufikisha apa tulipo,kwamba ccm kabla ya kufanya jambo wanaliweke siasa,sasa la msing nikuwapumzisha ccm ili tuwachague chadema nao tuone,tuwe kama zambia,na cdm wakizingua tunaweka kngne,ccm kwa sasa wameoza hawana jipya(plan b)
 
Usiogope mabadiliko best! Ccm wana miaka 50 madarakani wamefanya nini? Dunia nzima inafanya mabadiliko nasisi tubadilike, ccm hawana hati miliki ya uongozi wa nchi hii.
 
basi tusitegemee makubwa ndani ya uongozi wao.
NAYASEMA HAYA MAPEMA ILI YAFANYIWE KAZI.
'fikra huru kwa Taifa langu' Ukihisi hisia za hasira, kuhusu ukweli huu basi pita tuu.
Wananchi hawategemei Chama fulani kiwaletee mabadiliko, mabadiliko yataletwa na wananchi wenyewe kupitia sera za kundi/chama fulani, hivyo mtazamo wowote dhidi ya Chama tawala katika suala la maendeleo ni tafsiri ya wananchi kuhusu chama husika kushindwa kusimamia, kodi, maadili na umoja wa kijamii.
 
Back
Top Bottom