Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Habari wanajamii,
Nimeona ni vizuri kuwajulisha moja ya kauli zilizotawala ndani ya midomo ya wanakamati ya kamati kuu ya ccm,
Wanamsemo unaosema "HATUKUJA DODOMA KUFUKUZANA"
Ndugu zangu kwa kauli kama izo kuna matumaini yoyote ya kusema gamba limeishia kwenye kichwa? Au gamba limekataa kuvuka?
Kwa kauli kama hiyo tusitarajie jipya kutoka dodoma.
Nimeona ni vizuri kuwajulisha moja ya kauli zilizotawala ndani ya midomo ya wanakamati ya kamati kuu ya ccm,
Wanamsemo unaosema "HATUKUJA DODOMA KUFUKUZANA"
Ndugu zangu kwa kauli kama izo kuna matumaini yoyote ya kusema gamba limeishia kwenye kichwa? Au gamba limekataa kuvuka?
Kwa kauli kama hiyo tusitarajie jipya kutoka dodoma.