BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Arusha si shwari hata kidogo, kumekuwa na series ya events tokea kura za maoni, kampeni, uchaguzi mkuu, matokeo kutangazwa, uchaguzi wa umeya, maandamano na mwisho mauwaji. Tukae tukijua dunia imekuwa ikishuhudia yote haya. Sisi tukikaa hapa tunaongelea mabaya ya Ivory coast, Sudan na sasa Tunisia. Tutambue ya kwamba na sisi sasa tunaongelewa na nchi nyingine na siyo Arusha tu bali Tanzania nzima.
Nataka kujua je viongozi wetu wa siasa (Chadema na CCM) wanajua cost ya haya mambo yote? Je wamejiandaaje na mavuno ya haya matukio? Kuna analysis yoyote imeshafanyika kujua cost ambayo tayari tume incur? Kuna tetesi kwamba kuna watalii 5000 wamesha cancell kutembelea Tanzania.
Obervations zangu naona kama vile tunasheherekea mauwaji ya hawa ndugu zetu kwa ajili ya justification fulani bila kujali kwamba kuna watu have been hitted directly na msiba huu.
Maoni- Tunaomba viongozi wa vyama husika watumie busara kutatua matatizo ya kisiasa ya mjini Arusha na wasipange mikakati ambayo italeta chokochoko na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa Taifa letu. Ukizingatia kwamba kukiwa na vurugu walio kwenye risk ya kuzurika ni wananchi masikini na sio nyie viongozi (Fanya tafiti familia ya marehemu Imail na Dennis) Sisi pia tunahitaji kuishi kwa amani kama nyie mnavyoishi na familia zenu.
Mungu ibariki Tanzania
Nataka kujua je viongozi wetu wa siasa (Chadema na CCM) wanajua cost ya haya mambo yote? Je wamejiandaaje na mavuno ya haya matukio? Kuna analysis yoyote imeshafanyika kujua cost ambayo tayari tume incur? Kuna tetesi kwamba kuna watalii 5000 wamesha cancell kutembelea Tanzania.
Obervations zangu naona kama vile tunasheherekea mauwaji ya hawa ndugu zetu kwa ajili ya justification fulani bila kujali kwamba kuna watu have been hitted directly na msiba huu.
Maoni- Tunaomba viongozi wa vyama husika watumie busara kutatua matatizo ya kisiasa ya mjini Arusha na wasipange mikakati ambayo italeta chokochoko na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa Taifa letu. Ukizingatia kwamba kukiwa na vurugu walio kwenye risk ya kuzurika ni wananchi masikini na sio nyie viongozi (Fanya tafiti familia ya marehemu Imail na Dennis) Sisi pia tunahitaji kuishi kwa amani kama nyie mnavyoishi na familia zenu.
Mungu ibariki Tanzania